kuwa wazi zaidi, kwani ofisini upo peke yako mpaka ufunge ofisi, job kwangu hiyo one hour ya lunch unaruhusiwa kutoka nje kwa asbabu wakati mwingine si lazima chakula kiwe hapo,. na kisheria hapa kwetu inakubalika!!'
nafikiri hakuna sheria yoyote ya kitaifa inayoeleza hiyo one hour lunch inakuwaje. bali inakuwa ni policy ya kampuni husika!!
Habari wanajamii
2. Nifanyeje nikitaka kufanya mambo yangu huo muda wa lunch?
ofisi niko peke yangu, wote wanatoka nje kikazi, wakirudi, muda wa lunch umekwisha, hatuna msururu wa wateja, tukipata wengi ni wa3 kwa wiki, wanaoleta vitu tu, hatuuzi wala kutoa huduma ya papo kwa hapo (kama duka, stationery)
Kama ni secretary is ok usitoke kibarua kikaota nyasi.
ila kuna sheria za waajiri na waajiriwa za 2007 zinaeleza vizuri sana muda wa kazi
BUT CHECK CONTRACT YAKO NA HUYO BOSS NAYO INASEMAJE.
JOBLESS WAKO WENGI TETEA UNGA HUO!!!!!!!!
Kwa mujibu wa kifungu cha 23 cha EMPLOYMENT AND LABOUR RELATIONS ACT, ya mwaka 2004 (soma hapo chini) kinasema hivi (Naomba wanasheria hapa watufafanulie kwa undani kidogo)
23.-(1) Subject to this Part, an employer shall give an employee
who works continuously for more than five hours a break of at least 60
minutes.
(2) An employer may require an employee to work during a break
only if the work cannot be left unattended or cannot be performed by
another employee.
(3) An employer shall not be obliged to pay an employee for the
period of a break unless the employee is required to work, or to be
available for work, during the break.
Nadhani unaweza kuanzia hapa!!
Kazi njema