Ni kozi gani??

Kozi zote ni rasilimali.... Na zote zinategemeana,

Ukosefu wa ajira usifanye watu wasisome, nop

Nimekutana na watu baadhi wamesoma na hawajawahi ajiriwa zaidi wana biashara na makampuni yao.....

Kikubwa tujue tunasoma nini, kina manufaa gani , Jenga connection, jitume, amini na mwombe Mungu kwa imani yako.....

Itakuwa khery
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…