sepema
JF-Expert Member
- Jun 13, 2019
- 591
- 1,001
Heshima yenu wakuu. Miaka mingi nyuma mtu wangu wakaribu alinieleza kitu ambacho kiliniacha mdomo wazi.
Ni hivi, yeye nawenzake walitoka safari flani ambayo ilibidi wapande gari. Wakati wapo barabarani wakajaribu kusimamisha pickup flani ambayo ilikubali kuwachukua kwani walikua wanelekea uelekeo mmoja. Ndani ya gari hyo walikuepo watu wa3 akiwemo dereva na waliopewa msaada walikua wa4,wote wanawake.
Katikati ya safari mmoja kati yawaliopewa msaada akahisi kitu kisicho cha kawaida kwenye lifurushi lilokuwa hapo walipo,ikumbukwe Hawa waliwekwa Upande wanyuma wa gari.
Baada yakukonyezana na kudadisi wakagundua nimwili wabinadamu ambaye alishapoteza uhai(amekufa).
Kumbe wakati wakukonyezana wale jamaa kule mbele waligundua hivyo ghafla wakasimamisha gari nakuwarudia wale abiria wao. Wakawakoromea kuwa hawapaswi kushughulika na yaliyomo kwenye gari na endapo watakaidi nao watakutana na kilichompata huyo marehemu.
Wamama wale wakala kimya safari ikaendelea. Abiria wale walifika walipokua wanaenda ambapo gari Ile iliwashusha bila hata masharti yakutosema walichokiona.
Kama haitoshi,kwa kuwa sehemu hiyo ilikua imechangamka flani jamaa walipaki gari wakaingia bar kupata bia na nyama choma bila wasiwasi.
Kesho yake ikapatikana taarifa ya mwili wa mwanamke uliookotwa kwenye pori jirani na eneo waliloshukia wale akina mama.
Najiuliza, kwanini hawa watu hawakuogopa kukamatwa hata baada yawatu kugundua mwili kwenye gari yao?
Ni hivi, yeye nawenzake walitoka safari flani ambayo ilibidi wapande gari. Wakati wapo barabarani wakajaribu kusimamisha pickup flani ambayo ilikubali kuwachukua kwani walikua wanelekea uelekeo mmoja. Ndani ya gari hyo walikuepo watu wa3 akiwemo dereva na waliopewa msaada walikua wa4,wote wanawake.
Katikati ya safari mmoja kati yawaliopewa msaada akahisi kitu kisicho cha kawaida kwenye lifurushi lilokuwa hapo walipo,ikumbukwe Hawa waliwekwa Upande wanyuma wa gari.
Baada yakukonyezana na kudadisi wakagundua nimwili wabinadamu ambaye alishapoteza uhai(amekufa).
Kumbe wakati wakukonyezana wale jamaa kule mbele waligundua hivyo ghafla wakasimamisha gari nakuwarudia wale abiria wao. Wakawakoromea kuwa hawapaswi kushughulika na yaliyomo kwenye gari na endapo watakaidi nao watakutana na kilichompata huyo marehemu.
Wamama wale wakala kimya safari ikaendelea. Abiria wale walifika walipokua wanaenda ambapo gari Ile iliwashusha bila hata masharti yakutosema walichokiona.
Kama haitoshi,kwa kuwa sehemu hiyo ilikua imechangamka flani jamaa walipaki gari wakaingia bar kupata bia na nyama choma bila wasiwasi.
Kesho yake ikapatikana taarifa ya mwili wa mwanamke uliookotwa kwenye pori jirani na eneo waliloshukia wale akina mama.
Najiuliza, kwanini hawa watu hawakuogopa kukamatwa hata baada yawatu kugundua mwili kwenye gari yao?