kopuko
Senior Member
- Oct 24, 2011
- 180
- 58
Habari wana jf,
nina kuja kwenu tena katika jukwaa hili nikitaka ushauri wenu kwani najua humu kuna watu waliobobea na kupitia mambo mbalimbali.
Jamani kusema kweli natamani siku mja kuwa tajiri,but najua utajiri hauji hivi hivi bila jitiada flani,,nina kama 2 ml,ninaomba msaada wenu nifanye nini nazo ili mradi nisikose hata laki 4 mpaka 5 initialy kutoka katika hizo ml mbili kama faida?
Nimesoma ufugaji wa kuku humu ndani,bt nadhani naweza kupata mawazo chanya mengine ambayo pia yatasaidia na wengine pia,,mimi binafsi nilikuwa nafikiria bajaji used ambayo waweza pata kwa ml 2 mpka 2.5,,,bt nataka mawazo mengi zaidi ili niwe na uwanja mkubwa wa kuchagua cha kufanya.
Asanteni sana na ninakaribisha maoni na michango yenu.
nina kuja kwenu tena katika jukwaa hili nikitaka ushauri wenu kwani najua humu kuna watu waliobobea na kupitia mambo mbalimbali.
Jamani kusema kweli natamani siku mja kuwa tajiri,but najua utajiri hauji hivi hivi bila jitiada flani,,nina kama 2 ml,ninaomba msaada wenu nifanye nini nazo ili mradi nisikose hata laki 4 mpaka 5 initialy kutoka katika hizo ml mbili kama faida?
Nimesoma ufugaji wa kuku humu ndani,bt nadhani naweza kupata mawazo chanya mengine ambayo pia yatasaidia na wengine pia,,mimi binafsi nilikuwa nafikiria bajaji used ambayo waweza pata kwa ml 2 mpka 2.5,,,bt nataka mawazo mengi zaidi ili niwe na uwanja mkubwa wa kuchagua cha kufanya.
Asanteni sana na ninakaribisha maoni na michango yenu.