Ni Kwa heshima Lukuvi unatumika tu Ngorongoro?

Ni Kwa heshima Lukuvi unatumika tu Ngorongoro?

Mpap Ndabhit

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
331
Reaction score
416
Naongea na mheshimiwa Lukuvi uliyeongoza ujumbe mzito na wenye matumaini Kwa watu wa Ngorongoro. Dunia na watanzania Kwa ujumla walikuwa wanafuatilia Kila Neno ulilotamka Kwa jamii ya watu wa Ngorongoro.
Ulibeba ujumbe mzito wa Mheshimiwa Rais. Hata hivyo Nina wasiwasi na kazi nzuri uliyoifanya isije kuwa heshima Yako Kwa jamii ni ya kutumika vibaya. Na sijui kama kweli Rais alikutuma.
Uliwahi kuja Sae Mbeya kwenye mgogoro uliodumu Toka mwaka 1960 kati ya wananchi na chuo Cha kilimo uyole.
Kwa kauli Yako na ushahidi upo ukiambatana na spika Tulia, Mkuu WA mkoa wa in Mbeya ulisema umetumwa na Rais Samia kumaliza mgogoro huo. Ukawarudishia heka 67 wananchi. Watu wakafurahi, Wakashangilia serikali ya CCM! Wakaanza ujenzi mara Moja.
Ulipoondolewa cheo chako akaja JERRY SLAA waziri ardhibKwa kushirikiana na BASHE waziri wa kilimo wakamdanganya Rais, wakaanza kuwasimanga na kuwatesa wananchi, wakaleta jeshi kung'oa na Kuharibu mazao ya wananchi. Wakaamuru watu wabomoe nyumba na mpaka Leo eneo limezungushiwa ukuta wa mabilioni huku wananchi wakiwa ndani hawajui hatima. Wamefungua kesi mahakama Kuu Mbeya ambayo hata hivyo haiwezi kuwareshea eneo lao Kwa kuwa serikali ya Samia imewakamia kupora eneo lao!
Leo wananchi wanaitwa wavamizi na kauli ya LUKUVI Wanasema ilikuwa ni siasa tu Tena uhuni!
Sasa huko Ngorongoro walikokupeleka mheshimiwa huoni kama wanakudhalilisha tu.
 
Naongea na mheshimiwa Lukuvi uliyeongoza ujumbe mzito na wenye matumaini Kwa watu wa Ngorongoro. Dunia na watanzania Kwa ujumla walikuwa wanafuatilia Kila Neno ulilotamka Kwa jamii ya watu wa Ngorongoro.
Ulibeba ujumbe mzito wa Mheshimiwa Rais. Hata hivyo Nina wasiwasi na kazi nzuri uliyoifanya isije kuwa heshima Yako Kwa jamii ni ya kutumika vibaya. Na sijui kama kweli Rais alikutuma.
Uliwahi kuja Sae Mbeya kwenye mgogoro uliodumu Toka mwaka 1960 kati ya wananchi na chuo Cha kilimo uyole.
Kwa kauli Yako na ushahidi upo ukiambatana na spika Tulia, Mkuu WA mkoa wa in Mbeya ulisema umetumwa na Rais Samia kumaliza mgogoro huo. Ukawarudishia heka 67 wananchi. Watu wakafurahi, Wakashangilia serikali ya CCM! Wakaanza ujenzi mara Moja.
Ulipoondolewa cheo chako akaja JERRY SLAA waziri ardhibKwa kushirikiana na BASHE waziri wa kilimo wakamdanganya Rais, wakaanza kuwasimanga na kuwatesa wananchi, wakaleta jeshi kung'oa na Kuharibu mazao ya wananchi. Wakaamuru watu wabomoe nyumba na mpaka Leo eneo limezungushiwa ukuta wa mabilioni huku wananchi wakiwa ndani hawajui hatima. Wamefungua kesi mahakama Kuu Mbeya ambayo hata hivyo haiwezi kuwareshea eneo lao Kwa kuwa serikali ya Samia imewakamia kupora eneo lao!
Leo wananchi wanaitwa wavamizi na kauli ya LUKUVI Wanasema ilikuwa ni siasa tu Tena uhuni!
Sasa huko Ngorongoro walikokupeleka mheshimiwa huoni kama wanakudhalilisha tu.
Tatizo si Lukuvi ni usahaulifu wa mama. Hiyo imetokea sehemu nyingi serikalini. Inategemea ni nani anakwenda kwa mama kwa wakati gani. Hili nalo lilikuwa tatizo la utawala wa Mzee Ruksa. Angalau wakati huo alikuwepo Marehemu Kighoma MALIMA aliyeaminika na Rais Mwinyi kiasi akawa ni encyclopaedia yake
 
Naongea na mheshimiwa Lukuvi uliyeongoza ujumbe mzito na wenye matumaini Kwa watu wa Ngorongoro. Dunia na watanzania Kwa ujumla walikuwa wanafuatilia Kila Neno ulilotamka Kwa jamii ya watu wa Ngorongoro.
Ulibeba ujumbe mzito wa Mheshimiwa Rais. Hata hivyo Nina wasiwasi na kazi nzuri uliyoifanya isije kuwa heshima Yako Kwa jamii ni ya kutumika vibaya. Na sijui kama kweli Rais alikutuma.
Uliwahi kuja Sae Mbeya kwenye mgogoro uliodumu Toka mwaka 1960 kati ya wananchi na chuo Cha kilimo uyole.
Kwa kauli Yako na ushahidi upo ukiambatana na spika Tulia, Mkuu WA mkoa wa in Mbeya ulisema umetumwa na Rais Samia kumaliza mgogoro huo. Ukawarudishia heka 67 wananchi. Watu wakafurahi, Wakashangilia serikali ya CCM! Wakaanza ujenzi mara Moja.
Ulipoondolewa cheo chako akaja JERRY SLAA waziri ardhibKwa kushirikiana na BASHE waziri wa kilimo wakamdanganya Rais, wakaanza kuwasimanga na kuwatesa wananchi, wakaleta jeshi kung'oa na Kuharibu mazao ya wananchi. Wakaamuru watu wabomoe nyumba na mpaka Leo eneo limezungushiwa ukuta wa mabilioni huku wananchi wakiwa ndani hawajui hatima. Wamefungua kesi mahakama Kuu Mbeya ambayo hata hivyo haiwezi kuwareshea eneo lao Kwa kuwa serikali ya Samia imewakamia kupora eneo lao!
Leo wananchi wanaitwa wavamizi na kauli ya LUKUVI Wanasema ilikuwa ni siasa tu Tena uhuni!
Sasa huko Ngorongoro walikokupeleka mheshimiwa huoni kama wanakudhalilisha tu.

Lukuvi anajua mambo mengi machafu ya chama chake kama Luhaga Mpina lakini ameamua kuyasitiri yote kwa faida ya tumbo lake na kuwaacha wapiga kura wake na watanzania wateswe kwa mambo yasiyofaa bila kujali kesho yao
 
Lukuvi anajua mambo mengi machafu ya chama chake kama Luhaga Mpina lakini ameamua kuyasitiri yote kwa faida ya tumbo lake na kuwaacha wapiga kura wake na watanzania wateswe kwa mambo yasiyofaa bila kujali kesho yao
Viongozi wa namna hii wajue wameshika hatima ya watanzania wasimame katika haki. Waongee ukweli na wasiwe wanafiki wanaumiza watu.
 
Samia ni mp.....zi sana lile jibibi,kazi kuhonga wasanii na chawa ili asifiwe...simpendi sana yule furushi
Mkuu Punguza ukali wa maneno.! Huyo ni mama yetu, ni Rais wetu. Tunahitaji tumpende tumwombee katika majira yaliyoamuriwa na Jehova.
 
Back
Top Bottom