Ni kwa nini Lucky Dube aliuawa?

Utafikiri watu wameambiwa wataje nyimbo zake hahahhhhahhha!!!!!!!!!! Nobody can stop raggae!!!!!!
 
Nampenda sana huyu kaka, even though amekufa lakin nikisikiliza nyimbo zake naoma kama yupo hai, R.I.P Lucky.......
 
Jamani mi nilikuwa mpenz sn wa nyimbo zake na nilistuka kwel cku niliyosikia ameuwawa may god rest his soul in eternal peace.amiin
 
hahaaaaa pole.......kwa yaliyokusibu
halafu kuna ile sehem anasema
Now I know what they mean when they say
Beautiful woman is another mans play thing
Ohh Lord am hurting now..........

watu mupo dipu
 
Its not Easy........naupenda huu wimbo

Sijawahi kujua kisa chaa Kifo chake ila nimejaribu kufatilia
naona waliosema haikuwa reason ya ukweli

Is this the way you wanted it to be, this is the way its gonna be X2

Ooo my God, oo my God what we gonna do, in this world, in this world we live inx2

iI see these men everyday, at the corner of queens and commisioner,
beging for a dollar everyday
beging for a dime everyday,

trying to make a living out ther, but its so hard X2

Chorus.
Beging for a dollar, beging for a dime.x2

One of them, sold his pride,
his brocken pride and came to me and he said. "what did i do to deserve this, life is a game, what are the rules?"...............
Kungine sikiliza mwenyewe.

Hapo kwenye blue ndio pananipa huzuni kila nisikilizapo.

R. I. P. Lucky Dube.
 

Nyalotsi..ishu ya kufa kwa lucky dube ipo hivi..kipindi senzo anajitenga na lucky dube,lucky dube kama yeye hakuwa tayari kumuacha senzo aondoke ktk kundi lake ilimuumiza sana kichwa lucky dube kuondoka kwa senzo aliondoka na mashabiki wengi sana wa lucky dube pia ukumbuke nyimbo nyingi za lucky dube mtunzi alikuwa senzo na lucky dube aliiamini kuondoka kwa senzo ktk kundi lake ndio mwanzo wa yeye kutetereka kimuziki,Senzo alijitoa kwa lucky Dube pasipo na maelewano mazuri album ya kwanza ya senzo baadaya kujitoa kwa luckydube ili hit sana na aliuza nakala nyingi ugomvi wa senzo na luckydube ulifahamika hadi kwa mashabiki wao,ikikumbukwe kuwa kifo cha Senzo kilikuwa cha utata km kilivyo kifo cha luckydube,baada ya kutokea kifo cha Senzo mashabiki walimnyoshea kidole luckyDube ndio aliyemuua Senzo,luckydube alijitetea sana juu ya kifo cha Senzo mashabiki wa Senzo walisema nao watalipiza kisasi,baada ya kauli hizo kutolewa na mashabiki wa senzo Luckydube akakimbia South na kwenda kuishi London huku akiendelea na kaz zake za kimuziki aliishi London zaidi ya miaka kumi ndipo alipoamua kurudi south bila shaka ukumbuke kisasi hakisahauliki ila yeye alidhania wameshasahau yaliyopita
 
Mbona una mix.......hao ni UB arobaini bana......

Wewe nadhani ndio unamix mambo.

Wimbo wa Lucy Dube huo.

" I have got you baby, to make me feel alright" na jamaa anaanza kusema, i have gone around the world trying to find a woman, a woman that will understand me now i have found you........."
 
No matter how many his wrongs are, but people loved him most.
 

Mkuu asante kwa kunifumbua. Niliwahi sikia hizo habari ila sikuwa na uhakika. Nakumbuka album ya Worshiping your Love ya senzo ilivuma sana. Hivi jina kamili la senzo alikuwa akiitwa nani?
 
DZUDZUKU....tafuta nyimbo ya lucky dube inayoitwa OTHER SIDE alafu uisikilize ujumbe uliopo ktk huo wimbo..

Nimeipata aisee ni hatari..........ujue ndio yaliyopo siku hizi, si unajua wengi sana wanakamatwa wakitaka kuzamia ulaya kwa kupitia Italy?
 
Nimeipata aisee ni hatari..........ujue ndio yaliyopo siku hizi, si unajua wengi sana wanakamatwa wakitaka kuzamia ulaya kwa kupitia Italy?

Umeona jinsi walivyokuwa mashetani ktk hiyo nyimbo..!nyimbo nyingi za luckydube alikuwa anamuelezea sana mwanamke ktk kila hali kwenye mapenzi,vita,umaskini,ubaguzi wa rangi,unyanyasaji wa kijinsia nk
 

dah! asante mkuu dzudzuku kiukweli umenikumbusha back in days kaka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…