Ni kwanini Burundi inajipendekeza mno kwa Tanzania, lakini Rwanda inajiimarisha yenyewe kwa Kujipambania hadi Kusifika Kimataifa?

Tangu lin Watusi wakatokea MUSOMA?
Nikiwa nawaita Wapumbavu 24/7 hapa JamiiForums msiwe mnachukia. Sasa kama Leo hii pamoja na Kujiita Great Thinker lakini hujajua tu kuwa Historically Makabila ya Zanaki ( Mara ), Nyambo ( Kagera ), Hima ( Uganda ), Kalenjin ( Kenya ) na Nyamulenge ( Congo DR ) wote hawa ni Watutsi kutokea nchini Rwanda?

Achilia mbali hiyo ( hilo ) hivi kama Bibi yangu Mzaa Baba yangu Yeye Baba yake alitokea Mara ( Tanzania ) ila Mama yake alitokea 'Ututsini' kwa Wanyarwanda Mimi GENTAMYCINE nikisema pia nina Damu ya Kitutsi na Kinyarwanda kuna Kosa?

You're a Damn Fool.....!!!
 
Kiingereza kwangu ni lugha ya mawasiliano kama ilivyo kiswahili, kushindana ni kama unajifunza au unatafuta namna ya kuboresha kiingereza chako kitu ambacho sipo kwenye hizo level za kushindana kuongea kiingereza, pambana na hali yako..
Nilidhani hata haya Maelezo yako yote kwa Kujitapa ( Kujimwambafai ) Kwako kote huku ungeyaandika ili Mimi kama 'Wordsmith' niweze Kukipima matokeo yake naona unajibizana nami kwa Kiswahili tu.
 
Mimi ni mwehu ila ndiyo baba yako mkuu.
Bahati nzuri Baba yangu Mzazi ambaye ni Former Respected Senior Diplomat wa Taifa hili la Tanzania na Mtu aliyeshika Nyadhifa Kubwa Idara MUHIMU na kuwa Msaidizi wa karibu wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mshauri Mkuu wa Masuala ya Kidiplomasia ( Nje ) na Usalama wa Hayati Rais Mkapa na Mjumbe Maalum wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kwa Marais Hayati Nelson Mandela ( South Africa ), Robert Mugabe ( Zimbabwe ), Yoweri Museveni ( Uganda ), Paul Kagame ( Rwanda ), Pierre Buyoya ( Burundi ) na Joseph Desire Kabila ( Congo DR ) hakuwa ( siyo ) Mwendawazimu ( Chizi ) na Mpumbavu ( Juha ) kama Wewe.
 
We una uzi hata mmoja umeandika kwa kiingereza mwanzo mwisho we shenzi
Ila Wewe hizi posts zako hapa unanijibu kwa Kiingereza? Nionyeshe huo Uzi wako hata Mmoja tu uliouandika kwa Kiingereza hapa JamiiForums tafadhali. Zuzu ( Juha ) mkubwa Wewe.
 
Ila Wewe hizi posts zako hapa unanijibu kwa Kiingereza? Nionyeshe huo Uzi wako hata Mmoja tu uliouandika kwa Kiingereza hapa JamiiForums tafadhali. Zuzu ( Juha ) mkubwa Wewe.
Nenda ka search kwa muda wako Dont be a nice one ... you will loose...

Shenzi wewe.. wewe hata nikichat kwa kiingereza na wewe huwezi kunielewa..
 
Ila Wewe hizi posts zako hapa unanijibu kwa Kiingereza? Nionyeshe huo Uzi wako hata Mmoja tu uliouandika kwa Kiingereza hapa JamiiForums tafadhali. Zuzu ( Juha ) mkubwa Wewe.
Nionyeshe hata thread yako 1 umeandika kiingereza hakuna Swahili.. yaani wewe ndio wa kunipangia mimi kuongea kiingereza au ni reply kwa kiingereza ndipo ujue nakifahamu? We mshamba sana, kiingereza sio elimu we mwanamke.. kiingereza naongea kama kiswahili tu we mshamba..
 
Nenda ka search kwa muda wako Dont be a nice one ... you will loose...

Shenzi wewe.. wewe hata nikichat kwa kiingereza na wewe huwezi kunielewa..
Una dalili zote za Mwanaume Shoga ( Mwendo ) tafadhali tuwekee Mawasiliano ili 'Wafumuaji' wa 'Mitaro' tukuchangamkie.
 
Sijaja na ishu ya wewe kukaa kwa nyerere ikulu na Uganda kwakuwa mimi sina ulimbukeni kama wewe unataka tuanze kubishana tena wakubwa wazima eti nilikaa!!!,sikukaaa!!!,nilikaa!!!!!,hayo mambo nakumbukua tulikuwa tunabishana huko utotoni nakumbuka kuna siku tupo wadogo kabisa tukiwa Mitaa ya Magomeni ukapita msafara wa raisi enzi hizo Ali Hassan Mwinyi tukaanza kubishana gari hasa alilokuwemo raisi ni lipi nakumbuka tulibishana tukitembea kwa mguu mpaka Tandale kwahiyo sitaki tena nirudie tena event hiyo maana kubishana na wewe kwa mtu mwenye mambk mengi ya kufanya hapa mjini ni kupoteza muda tafuta majobless wenzio ndio muanze arguments za kishamba maana hata nikikwambia uthibitishe kweli kama uliishi kwenye hizo ikulu(japokuwa haitonsaidia kitu)huwezi kunithibitishia hata mimi leo humu JF ningeamua kusema nimeishi Ikulu zote za Africa Mashariki na nina asili ya Botswana ningeweza ila mimi sio mshamba kama wewe nina exposure ya kutosha na sijatoka bush(mbwinde) kama wewe huwa tunakuona kashamba fulani hivi kanachojaribu kujitutumua
 
Usinipotezee muda..

We bado mchache sana kwa kila kitu..
Huyo jamaa mshamba hadi leo akiwa Tandika anaulizia magari ya kariakoo yako wapi!!!..Anachofanya humu ni kujitutumua kuonyesha na yeye born town matawi kumbe tunaojua saikolojia tumeshagundua kwamba hayupo sawa mentally!!!!.. LIKUD huwa anasema anahisi wenzie wanamgonga(wanamnyata)
 
Afya ya akili haipo vyema, ni jamaa mmoja mshamba tu asiye mbele wala nyuma, kuishi ikulu ukute mama yake alikuwa anafanya usafi wa vyoo hapo ikulu, tena vyoo vya walinzi, sasa akawa anakwenda nae utotoni ..

Jinga sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…