GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kazi yangu Kubwa GENTAMYCINE leo ni Kusoma tu Comments zenu kutokana na huu Uzi wangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cloud ni wapuuzi.Kazi yangu Kubwa GENTAMYCINE leo ni Kusoma tu Comments zenu kutokana na huu Uzi wangu.
Tena zaidi.Cloud ni wapuuzi.
Ndio wamefunjaaa kwani unataka nnFikra za kijinga kabisa. Wamevunja taratibu zozote za leseni yao ya biashara? Kwa kufanya hivyo wameenda kinyume na taratibu za nchi?
kwan kuna ubaya gani wakifanya mambo ya birthday 🎉 za marais tofauti na media zingine?Kazi yangu Kubwa GENTAMYCINE leo ni Kusoma tu Comments zenu kutokana na huu Uzi wangu.
Uwezo mkubwa wa Kufikiri kama huu wako kamwe Fool kama Lyetu hapo juu hawezi kuwa nao.CMG Ni muda mrefu wakijipendekeza kwa watawala kinafiki Mara kwa kikwete ,saamia ,na jiwe wameshindwa tu kijipendekeza kwa mkpa
Hilo la kujipendekeza nimesha liona muda sna hvyo nikaamua kuwapuuza Zaid Sana kipind changu pendwa Cha pb ya masoud ,siza ,fetty ndio natazikiliza
Wapumbavu hamtaisha kamwe Tanzania.Mkuu si kweli kwamba wanajipendekeza. Hizo ni mbinu za biashara.
Msaidizi binafsi wa mkurugenzi wa CMG. Kusaga anayeitwa spencer minja ni dogo hatari sana kichwani. Mimi huyu ni mdogo wangu na ameshakuwa raisi pale UDSM. kinachofanywa hapo ni biashara pia ku gain nguvu kwenye
serikali, na hizo ni proposal zake pamoja na Andrew.
Hapo ni katika kuendeleza uchumi wa buluu, kutengeneza koneksheni za kujikwamua katika uchumi.
Leo shuguli nzima itaanzia the waves na baadae tunaelekea mbudya. Kama kijana hii si ya kukosa kabisa kwa gharama za kitanzania.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uwezo mkubwa wa Kufikiri kama huu wako kamwe Fool kama Lyetu hapo juu hawezi kuwa nao.
Hao Kama Hujui Ni Kunguni Walioshiba Damu, Wametoka Kiwango Cha ChawaKazi yangu Kubwa GENTAMYCINE leo ni Kusoma tu Comments zenu kutokana na huu Uzi wangu.
Wanajua kula na kipofu, umesahau ripoti ya CAG ilisemajeKazi yangu Kubwa GENTAMYCINE leo ni Kusoma tu Comments zenu kutokana na huu Uzi wangu.