Ni kwanini CMG (Clouds FM na Clouds TV) hupenda sana kujipendekeza katika birthdays za Marais nchini tofauti na Media zingine?

Ni kwanini CMG (Clouds FM na Clouds TV) hupenda sana kujipendekeza katika birthdays za Marais nchini tofauti na Media zingine?

Kama mfanyabiashara lazima utafute means ya kusurvive na kuangalia mshindani wako ana lack nini.Moja wapo ni hii ya kujiweka karibu na watu wenye nguvu.Wakati media zingine zinaweza kudhani birthday ni upuuzi,huohuo upuuzi unawafanya wenzao wanagain special favours.
 
Je, kuna Siri gani Kubwa iliyojificha ya Kiuhusiano na Ukaribu kati ya Serikali ya Tanzania, Chama cha CCM na Clouds Media Group wenye Clouds FM, Clouds Tv na nyinginezo?

Mbona TBC1 na TBC Taifa na mpaka Magic FM Radio na Channel Ten Tv ambazo ni za Serikali na Chama cha Mapinduzi zenyewe huwa hazishoboki na hazijipendekezi kihivyo kama ilivyo kwa CMG?
 
Fikra za kijinga kabisa. Wamevunja taratibu zozote za leseni yao ya biashara? Kwa kufanya hivyo wameenda kinyume na taratibu za nchi?
 
CMG Ni muda mrefu wakijipendekeza kwa watawala kinafiki Mara kwa kikwete ,saamia ,na jiwe wameshindwa tu kijipendekeza kwa mkpa

Hilo la kujipendekeza nimesha liona muda sna hvyo nikaamua kuwapuuza Zaid Sana kipind changu pendwa Cha pb ya masoud ,siza ,fetty ndio natazikiliza
 
Mkuu si kweli kwamba wanajipendekeza. Hizo ni mbinu za biashara.

Msaidizi binafsi wa mkurugenzi wa CMG. Kusaga anayeitwa spencer minja ni dogo hatari sana kichwani. Mimi huyu ni mdogo wangu na ameshakuwa raisi pale UDSM. kinachofanywa hapo ni biashara pia ku gain nguvu kwenye
serikali, na hizo ni proposal zake pamoja na Andrew.

Hapo ni katika kuendeleza uchumi wa buluu, kutengeneza koneksheni za kujikwamua katika uchumi.

Leo shuguli nzima itaanzia the waves na baadae tunaelekea mbudya. Kama kijana hii si ya kukosa kabisa kwa gharama za kitanzania.
 
Kazi yangu Kubwa GENTAMYCINE leo ni Kusoma tu Comments zenu kutokana na huu Uzi wangu.
kwan kuna ubaya gani wakifanya mambo ya birthday 🎉 za marais tofauti na media zingine?
na hizo media zingine zikafanya mambo mengine kitofauti? 🐒
 
CMG Ni muda mrefu wakijipendekeza kwa watawala kinafiki Mara kwa kikwete ,saamia ,na jiwe wameshindwa tu kijipendekeza kwa mkpa

Hilo la kujipendekeza nimesha liona muda sna hvyo nikaamua kuwapuuza Zaid Sana kipind changu pendwa Cha pb ya masoud ,siza ,fetty ndio natazikiliza
Uwezo mkubwa wa Kufikiri kama huu wako kamwe Fool kama Lyetu hapo juu hawezi kuwa nao.
 
Mkuu si kweli kwamba wanajipendekeza. Hizo ni mbinu za biashara.

Msaidizi binafsi wa mkurugenzi wa CMG. Kusaga anayeitwa spencer minja ni dogo hatari sana kichwani. Mimi huyu ni mdogo wangu na ameshakuwa raisi pale UDSM. kinachofanywa hapo ni biashara pia ku gain nguvu kwenye
serikali, na hizo ni proposal zake pamoja na Andrew.

Hapo ni katika kuendeleza uchumi wa buluu, kutengeneza koneksheni za kujikwamua katika uchumi.

Leo shuguli nzima itaanzia the waves na baadae tunaelekea mbudya. Kama kijana hii si ya kukosa kabisa kwa gharama za kitanzania.
Wapumbavu hamtaisha kamwe Tanzania.

Cc: Tlaatlaah
 
Back
Top Bottom