Tetesi: Ni kwanini dada zetu ni wagumu kudai kinga wakati wa tendo.

Tetesi: Ni kwanini dada zetu ni wagumu kudai kinga wakati wa tendo.

Themann

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2022
Posts
3,842
Reaction score
16,058
Nimeleta uzi huu kuhusisha pande zote mbili za me&ke katika kila pande ichangie uzi huu ni kwanini dada zetu.Ni wachache utawaskia wakidai kinga pindi wanapokutana na wapenzi zao.Nimeliona hili hata katika kila mahusiano mapya ninayo yaanza nikajiuliza wenda mimi ndo najali sana afya yangu ama?.Lakini leo nimekuja niskie kwenu dada zangu kwanini inakua hivi au na nyie mna kale katabia Kakumpima mtu kwa macho mkishapenda sana? Me wenzangu ningeomba mchangie je kama na nyinyi mmekutana na hili jambo.
 
Wanawake wengi kondomu hawataki wanadai zinawaumiza.

Wanapokuona huzivai wala hawakuulizi sababu hawataki uvae ili wasiumie
 
Wanawake wengi kondomu hawataki wanadai zinawaumiza.

Wanapokuona huzivai wala hawakuulizi sababu hawataki uvae ili wasiumie

Lkn wao wanadai zinaumiza kwa upande wa pili ni risk kwako kiafya mkuu
 
Nimeleta uzi huu kuhusisha pande zote mbili za me&ke katika kila pande ichangie uzi huu ni kwanini dada zetu.Ni wachache utawaskia wakidai kinga pindi wanapokutana na wapenzi zao.Nimeliona hili hata katika kila mahusiano mapya ninayo yaanza nikajiuliza wenda mimi ndo najali sana afya yangu ama?.Lakini leo nimekuja niskie kwenu dada zangu kwanini inakua hivi au na nyie mna kale katabia Kakumpima mtu kwa macho mkishapenda sana? Me wenzangu ningeomba mchangie je kama na nyinyi mmekutana na hili jambo.
Ukweli ni kwamba ukishaonja ngono bila kinga, ni ngumu sana kufurahia mapenzi kwa kinga. Wadada wengi unakuta mwanzoni wakati wanaanza mapenzi walibanjuliwa sana kavukavu na kuonja utamu wa dry.
 
Ukweli ni kwamba ukishaonja ngono bila kinga, ni ngumu sana kufurahia mapenzi kwa kinga. Wadada wengi unakuta mwanzoni wakati wanaanza mapenzi walibanjuliwa sana kavukavu na kuonja utamu wa dry.

Hapo nimekupata nikweli ukionja kavu hutotaman kinga kuna muda una apia kabisa akija unatumia kinga ila Gia zikishachanganya unasahau hata ulipoziweka
 
Back
Top Bottom