Uchaguzi 2020 Ni kwanini hajawahi tokea mgombea CCM akose sifa?

Uchaguzi 2020 Ni kwanini hajawahi tokea mgombea CCM akose sifa?

chikambabatu

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2015
Posts
1,339
Reaction score
1,318
Malalamiko mengi kila uchaguzi kuwa wagombea wa upinzani ukosa kuteuliwa sababu mbalimbali, na upelekea upande wa CCM kupita bila kupingwa.

Na kamwe sijawahi sikia mpinzani kupita bila kupingwa.

Ukichunguza hata wagombea wa CCM huwa na mapungufu lakini hata wakikatiwa rufaa utupiliwa mbali.

Hivi sasa kuna baadhi ya viongozi wa CCM kwenye vitongoji hawajui kusoma wala kuandika.

Je, ni kweli tunasonga mbele au ni bora liende kwenye demokrasia na maendeleo?
 
Kinachofanyika katika hili la wagombea kukosa sifa kiko bayana. Ni ujinga wa kiwango cha SGR na ulichoandika hapa kuhusu wagombea wa CCM wakati wote kuwa na sifa ndio ushahidi na muendelezo wa ujinga huo huo uliofanyika katika chaguzi za serikali za mitaa. Wanaiingiza nchi gizani kwa ushamba, ulimbukeni na unafiki.
 
Malalamiko mengi kila uchaguzi kuwa wagombea wa upinzani ukosa kuteuliwa sababu mbalimbali, na upelekea upande wa CCM kupita bila kupingwa....

CCM kimekuwa sasa hatari kwa mustakabali wa Taifa hili. Huko tuendako ni Giza totoro kidemokrasia, uhusiano wa kitaifa na kimataifa, kimaadili, nk. Kwa kifupi taswira ya Libya imeshajengwa nchini chini ya chama hiki dhalimu. Nchi imekalia bomu ambalo wakati wowote litalipuka. CCM inajifanya ina hati miliki ya nchi.
 
Chama Cha Majambazi - CCM kimekuwa sasa hatari kwa mustakabali wa Taifa hili. Huko tuendako ni Giza totoro kidemokrasia, uhusiano wa kitaifa na kimataifa, kimaadili, nk. Kwa kifupi taswira ya Libya imeshajengwa nchini chini ya chama hiki dhalimu. Nchi imekalia bomu ambalo wakati wowote litalipuka. CCM inajifanya ina hati miliki ya nchi.
Punguza hasira Mkuu twende mdogo mdogo tutaelewana tu
 
Malalamiko mengi kila uchaguzi kuwa wagombea wa upinzani ukosa kuteuliwa sababu mbalimbali, na upelekea upande wa CCM kupita bila kupingwa.

Na kamwe sijawahi sikia mpinzani kupita bila kupingwa..
Hayo ndio maajabu na ushamba wa NEC na CCM.
 
Malalamiko mengi kila uchaguzi kuwa wagombea wa upinzani ukosa kuteuliwa sababu mbalimbali, na upelekea upande wa CCM kupita bila kupingwa.

Na kamwe sijawahi sikia mpinzani kupita bila kupingwa.

Ukichunguza hata wagombea wa CCM huwa na mapungufu lakini hata wakikatiwa rufaa utupiliwa mbali.

Hivi sasa kuna baadhi ya viongozi wa CCM kwenye vitongoji hawajui kusoma wala kuandika.

Je, ni kweli tunasonga mbele au ni bora liende kwenye demokrasia na maendeleo?
Kwanini zito kabwe alifukuzwa chadema?kama jibu unalo basi elewa kuwa ndiyo hali halisi .
 
Back
Top Bottom