Mehek
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 7,473
- 10,426
Habari za mida hii wapedwaa!???
Leo na swali na ningependa mnijbu km swali linavyouliza
>>Ni kwanini asilimia kubwa ya wachangiaji wa majukwaa ya chit chat & MMU hawako serious sana kwenye kuchangia mada, mfano mtu kaomba msaada/ushauri
Mfano:>> Nikiwa faragha na mpenzi wangu na wahi kufika kileleni wakati mwingine na shidwa hata kurudia tendo je tatizo ni nini!??? [/=]
Badala tumshauri km tunauelewa tunaanza kuingiza utani mwingi, kutag anaa salamu humo humo, tunasahau mada tunaanza vibunge vya kahawa, ni kwanini tusiwe serious tuchangie mada baada ya hapo tuanze hadithi, salamu , n.k!????
Mimi pia natabia hiyo sikatai lakini lengo la huu uzi, siyo vijembe bali nikurekebishana tuuu
NB: KAMA KUNANILIE MKWAZA ANIFATE PM, MSISAHAU kuna banned!!!![emoji12] [emoji12] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Leo na swali na ningependa mnijbu km swali linavyouliza
>>Ni kwanini asilimia kubwa ya wachangiaji wa majukwaa ya chit chat & MMU hawako serious sana kwenye kuchangia mada, mfano mtu kaomba msaada/ushauri
Mfano:>> Nikiwa faragha na mpenzi wangu na wahi kufika kileleni wakati mwingine na shidwa hata kurudia tendo je tatizo ni nini!??? [/=]
Badala tumshauri km tunauelewa tunaanza kuingiza utani mwingi, kutag anaa salamu humo humo, tunasahau mada tunaanza vibunge vya kahawa, ni kwanini tusiwe serious tuchangie mada baada ya hapo tuanze hadithi, salamu , n.k!????
Mimi pia natabia hiyo sikatai lakini lengo la huu uzi, siyo vijembe bali nikurekebishana tuuu
NB: KAMA KUNANILIE MKWAZA ANIFATE PM, MSISAHAU kuna banned!!!![emoji12] [emoji12] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]