elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,733
Kuna jamaa wa B-hits anitwa Deddy, mimi nikimsikiliza naona anajua sana, hata ukisikiliza nyimbo alizoshirikishwa ana style yake flani ya tofauti. Amesikika kwenye ngoma ya Mabeste ya Ndole, kapiga chorus na verse ya mwisho kwenye ngoma ya ya M rap ya Desiny.
Jamaa yuko sawa, ila ni muda sijawahi hata siki track yake yeye kama yeye.
Jamaa yuko sawa, ila ni muda sijawahi hata siki track yake yeye kama yeye.