Ni kwanini katika Misiba ya Watu Maarufu au hata Wake zao au Wapenzi Wao Ugonjwa huu huwezi Kukosa Kuusikia ukinong'onwa na Wahudhuriaji?

Ni kwanini katika Misiba ya Watu Maarufu au hata Wake zao au Wapenzi Wao Ugonjwa huu huwezi Kukosa Kuusikia ukinong'onwa na Wahudhuriaji?

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Marehemu alikuwa kiburi,
Sio mtu mzuri..
Kashaua Sana..
Marehemu alikuwa Malaya
hujapata kusikia haya
 
Hii nayo ni thread ya great thinker?
Utolopolo at the highest level

Pakitakiwa kutoka Great Thinkers una uhakika kabisa tena wa 100% kuwa na Wewe nawe kwa Bichwa lako Kubwa lenye Panzi wengi utajitokeza?
 
Pakitakiwa kutoka Great Thinkers una uhakika kabisa tena wa 100% kuwa na Wewe nawe kwa Bichwa lako Kubwa lenye Panzi wengi utajitokeza?
Jitu la kujaza nyuzi zake na matusi, wewe ni hasara iliyochangamka
 
Jitu la kujaza nyuzi zake na matusi, wewe ni hasara iliyochangamka

Ukimaliza utaniambia tafadhali ili niendelee Kujadiliana na Watu wenye Akili Kubwa na siyo Mpuuzi Mmoja kama Wewe unayenipotezea tu muda.
 
Daah hili gonjwa lipo kama halipo ..

Halafu nasikia Siku hizi hili Gonjwa limekuja kwa Sura mpya kabisa ambapo Mhusika anakuwa ananawiri tu kwa nje ila kwa ndani Keshajiozea zake.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Marehemu alikuwa kiburi,
Sio mtu mzuri..
Kashaua Sana..
Marehemu alikuwa Malaya
hujapata kusikia haya
Mkuu hujapepesa macho,,,duu ,,tumekwisha kama ni kwl,,maana sikumbuki na mm kama nilitumia,,
 
Back
Top Bottom