Ni kwanini marefa wa Kitanzania hawaheshimiki kimataifa?

Ni kwanini marefa wa Kitanzania hawaheshimiki kimataifa?

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Inaniuma sana kuona licha ya kuwa na ligi inayotajwa kuwa miongoni mwa ligi bora afrika lakini marefa wa hapa nchini hawajapata nafasi ya kuchezesha kimataifa.

Tumekuwa na mashindano mengi hapa juzi kati lakini kama nchi hatujapeleka refa hata mmoja kulikuwa na chan, watoto wa kike kule India fainali za klabu bingwa afrika confederation. Cup na mengine mengi sababu ni nini?
 
Hawaja kidhi vigezo, Siku waki fikia viwango wataitwa.
 
Mliyempa tuzo ya refa bora mwaka jana yuko wapi sasa ?
 
Sa refa anatoa tuta akati mchezji kanawa nje ya 18,ataheshimikaje??
 
Tatizo kubwa la taifa letu ni lugha iwe kwenye sanaa au kwenye mpira na maeneo mengine lugha ni tatizo kubwa sana linalorudisha nyuma maendeleo yetu katika sekta mbali mbali na bahasha pia.
 
Inaniuma sana kuona licha ya kuwa na ligi inayotajwa kuwa miongoni mwa ligi bora afrika lakini marefa wa hapa nchini hawajapata nafasi ya kuchezesha kimataifa.

Tumekuwa na mashindano mengi hapa juzi kati lakini kama nchi hatujapeleka refa hata mmoja kulikuwa na chan, watoto wa kike kule India fainali za klabu bingwa afrika confederation. Cup na mengine mengi sababu ni nini?
bado sana
 
Tatizo kubwa la taifa letu ni lugha iwe kwenye sanaa au kwenye mpira na maeneo mengine lugha ni tatizo kubwa sana linalorudisha nyuma maendeleo yetu katika sekta mbali mbali na bahasha pia.

Mbona waburundi na warwanda marefa wao wanatumika sana kwenye mechi za caf
 
Hata wewe muuza mananasi unaweza kuheshimika kimataifa kama unaona rahisi by Ajibu migomba
 
1)Klabu bingwa Afrika inayoendelea yupo refa mbongo kashachezesha. ELLY SASII

2)Kufuzu kombe la dunia Qatar refa mbongo alihusika.


Malalamiko tuliyonayo kwa marefa wetu yapo kwenye karibu kila nchi Afrika.

Kila nchi inahisi marefa wake ndio wabovu.

EPL wanalalamikia marefa wao.
 
Back
Top Bottom