Uchaguzi 2020 Ni kwanini Membe hayupo kwenye process ya kutafuta wadhamini kama Tundu Lissu?

Uchaguzi 2020 Ni kwanini Membe hayupo kwenye process ya kutafuta wadhamini kama Tundu Lissu?

Anapopita Lissu kuna watu wa vyama vingine wanachukua sahihi za wadhamini mule.

Mie nishamsainia wangu tayari.
 
Kuna corona mmesahau mara hii hata anayejitembeza alienda lalamika kwa jirani tuna korona ya kutosha
 
Hata Mapambano Makubwa ya Masumbwi huanza na wadogo wadogo. Wakianza Wazito wengine mtakomea nje tu mtu alishapigwa ya chembe.

Halafu mlalamike acha dogo azungukeee, kimsingi wenye akili wanajua kwenye kampeni ataongea nini. Waje na majibu ya mtihani
 
The same reasons Mwalim hayoko Zanzibar kutafuta wadhamini. Ni maandalizi ya pigo takatifu kwa CCM.
 
Utasikia "Tanzania kuna corona"

Same time unakusanya watu

Dah
 
Back
Top Bottom