Ni kwanini Phlebotomists hawataki kufanya hand hygiene?

Ni kwanini Phlebotomists hawataki kufanya hand hygiene?

Forgotten

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,518
Reaction score
10,839
Habari wana-JF! Hili ni jambo linalonishangaza kwenye Hospitali na vituo vya afya vingi hapa nchini. Pindi unapofanya kipimo cha damu, Phlebotomist huwa hafuati taratibu za kiafya kwa kuvaa gloves au ku-sanitise mikono. Unakuta anaingia na kutoka Maabara na kwenda kupeleka majibu ya vipimo kwa madaktari ila bado atarudi na kuanza kuhudumia watu wengine bila kuosha mikono wala kuvaa gloves.

Yaani ni mpaka umkumbushe ndiyo afanye hivyo. Nilishaenda hospitali moja nikakuta hawana hata Disposable Tourniquet.

Naamini hapa JF kuna wahudumu wa afya wengi tu. Ningependa kujua ni kwanini Phlebotomists wanafanya hivyo. Shida ni vifaa au ni kutokuwa makini wakati wa kazi?
 
Habari wana-JF! Hili ni jambo linalonishangaza kwenye Hospitali na vituo vya afya vingi hapa nchini. Pindi unapofanya kipimo cha damu, Phlebotomist huwa hafuati taratibu za kiafya kwa kuvaa gloves au ku-sanitise mikono. Unakuta anaingia na kutoka Maabara na kwenda kupeleka majibu ya vipimo kwa madaktari ila bado atarudi na kuanza kuhudumia watu wengine bila kuosha mikono wala kuvaa gloves.

Yaani ni mpaka umkumbushe ndiyo afanye hivyo. Nilishaenda hospitali moja nikakuta hawana hata Disposable Tourniquet.

Naamini hapa JF kuna wahudumu wa afya wengi tu. Ningependa kujua ni kwanini Phlebotomists wanafanya hivyo. Shida ni vifaa au ni kutokuwa makini wakati wa kazi?
Kwa hiyo ukijitolea kutoa damu ni hatari kwa afya yako!
 
Habari wana-JF! Hili ni jambo linalonishangaza kwenye Hospitali na vituo vya afya vingi hapa nchini. Pindi unapofanya kipimo cha damu, Phlebotomist huwa hafuati taratibu za kiafya kwa kuvaa gloves au ku-sanitise mikono. Unakuta anaingia na kutoka Maabara na kwenda kupeleka majibu ya vipimo kwa madaktari ila bado atarudi na kuanza kuhudumia watu wengine bila kuosha mikono wala kuvaa gloves.

Yaani ni mpaka umkumbushe ndiyo afanye hivyo. Nilishaenda hospitali moja nikakuta hawana hata Disposable Tourniquet.

Naamini hapa JF kuna wahudumu wa afya wengi tu. Ningependa kujua ni kwanini Phlebotomists wanafanya hivyo. Shida ni vifaa au ni kutokuwa makini wakati wa kazi?


Huyo unayeulizia ni Phlebotomist wa kizungu au wa kiafrika??
 
Habari wana-JF! Hili ni jambo linalonishangaza kwenye Hospitali na vituo vya afya vingi hapa nchini. Pindi unapofanya kipimo cha damu, Phlebotomist huwa hafuati taratibu za kiafya kwa kuvaa gloves au ku-sanitise mikono. Unakuta anaingia na kutoka Maabara na kwenda kupeleka majibu ya vipimo kwa madaktari ila bado atarudi na kuanza kuhudumia watu wengine bila kuosha mikono wala kuvaa gloves.

Yaani ni mpaka umkumbushe ndiyo afanye hivyo. Nilishaenda hospitali moja nikakuta hawana hata Disposable Tourniquet.

Naamini hapa JF kuna wahudumu wa afya wengi tu. Ningependa kujua ni kwanini Phlebotomists wanafanya hivyo. Shida ni vifaa au ni kutokuwa makini wakati wa kazi?
Eti disposable torniquete kwani umelipia sh ngapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Eti disposable torniquete kwani umelipia sh ngapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tatizo hawana hata zile za kama mkanda, nikashindwa kuelewa wanafanyaje kazi na ni private hospital.

Pesa nimelipia ni haki yangu kupata huduma bora.
 
Wengi hufanya kazi kwa mazoea, hawaoni ni hatari kwao na kwa wanayempa huduma. Hayo yote mpaka wawe wanakumbushwa, kila mara!!!
 
Habari wana-JF! Hili ni jambo linalonishangaza kwenye Hospitali na vituo vya afya vingi hapa nchini. Pindi unapofanya kipimo cha damu, Phlebotomist huwa hafuati taratibu za kiafya kwa kuvaa gloves au ku-sanitise mikono. Unakuta anaingia na kutoka Maabara na kwenda kupeleka majibu ya vipimo kwa madaktari ila bado atarudi na kuanza kuhudumia watu wengine bila kuosha mikono wala kuvaa gloves.

Yaani ni mpaka umkumbushe ndiyo afanye hivyo. Nilishaenda hospitali moja nikakuta hawana hata Disposable Tourniquet.

Naamini hapa JF kuna wahudumu wa afya wengi tu. Ningependa kujua ni kwanini Phlebotomists wanafanya hivyo. Shida ni vifaa au ni kutokuwa makini wakati wa kazi?
Sisi tuliosomea ufugaji wa sungura, itabidi tutafute mkalimani atutafsirie haya malugha ya kimalkia yaliyotumika hapa...
 
Jina gumu kichizi yani ndio mnategemea mtu anawe mikono kweli
Mi najua shuleni nilifundishwa kunawa mikono ni kabla na baada ya kula tu . Hizi elimu nyingine zinawahusu wakoloni
 
Wasomi wa kitanzania bana... Wanaamini wakitumia kimombo ndio wanathibitisha usomi wao...
Siyo kweli. Kiingereza ni lugha kama ilivyo Kiswahili tu na haiwezi kuthibitisha ngazi ya elimu ya mtu.

Hilo neno Phlebotomist sijapata tafsiri yake kwa neno la Kiswahili ila kwa lugha nyepesi ni mtoa huduma wa afya anayehusika na uchukuaji wa sampuli (damu).
 
Jina gumu kichizi yani ndio mnategemea mtu anawe mikono kweli
Tukisema waache kufuata taratibu maana yake hata madereva wa vyombo vya moto waruhusiwe kuendesha kwa mwendo wanaoutaka?

Kila kazi ina taratibu zake na ni muhimu kufuatwa.
 
Back
Top Bottom