Ni kwanini Serikali haikusanyi kodi kwa wachina? Ni rushwa au ndo kula kwa Urefu wa kamba?

Ni kwanini Serikali haikusanyi kodi kwa wachina? Ni rushwa au ndo kula kwa Urefu wa kamba?

Subira the princess

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2018
Posts
3,474
Reaction score
3,744
Wasalaam
Tanzania yetu kuja kujitegemea itachukua karne nyingi sana kwa sababu mamlaka za kiserikali za kusimamia makusanya ya kodi zimefeli na hazina ubunifu.

Kwa mfano hapa Dar wanaosumbuliwa kulipa kodi ni wafanyabiashara wenye vifrem na maduka ili hali kuna viwanda vingi bubu visivyo na majina vya wachina vimefunguliwa ktk ya makazi watu na havilipi Kodi.

Viwanda hivi vinazalisha malighafi mbalimbali km taa ZA majumbani, mabati, nondo, funiture, mapambo na vipuri mbalimbali lakini ajabu Hakuna watu wa TRA au MANISPA wanaopita kwenda kuchukua kodi wala ushuru.

Serikali wanawaza kukopa tu na kula Kwa UREFU wa kamba ili hali wazawa wanateseka na kodi kandamizi huku wachina wakiishi km peponi bila kulipa kodi.

Pia kuna machine za kichina za Kamari karibu kila mtaa na hakuna Kodi inayochukuliwa Bali walalahoi wananyonywa tu na machina
 
Vingi huwa havijulikani unakuta wanakodi zao nyumba tandale then inafanywa kiwanda unakuta hata majirani wenyewe hawajui kama kuna kiwanda itakuwa hao TRA?
 
Hata App za mikopo ya online nyingi ni za wachina na sijui kama wamesajiliwq na kodi wanalipa.
 
Una financial statements za hayo makampuni unayodai hayalipi kodi au unaongea bila proof? Au wewe ni whistleblower? tuambie ili tukujibu vizuri.
Tatizo mnatetea kila madudu cjui mlirogwa na Nani? Ww fanya research ndogo tu pita mitaani hasa iliopembezoni utakuta viwanda vingi vimefichwa ktkt ya makazi ya watu na hakuna mamlaka wanaoingia humo kuchukua kodi
 
Siku hizi mtu anaweza kuamka na tuhuma akajiongelea tuu pasipo kujali lolote.
 
Tatizo mnatetea kila madudu cjui mlirogwa na Nani? Ww fanya research ndogo tu pita mitaani hasa iliopembezoni utakuta viwanda vingi vimefichwa ktkt ya makazi ya watu na hakuna mamlaka wanaoingia humo kuchukua kodi
Hakuna kutetea. Hatuendeshwi na hisia bali na facts. WaAfrika wengi tunafanya maamuzi tukiwa na hisia ndio maana kila siku serikali yenu inagaragazwa mahakamani..TRA hotline ipo karipoti hivo viwanda sio kuja kuleta hisia humu
 
Wasalaam
Tanzania yetu kuja kujitegemea itachukua karne nyingi sana kwa sababu mamlaka za kiserikali za kusimamia makusanya ya kodi zimefeli na hazina ubunifu.

Kwa mfano hapa Dar wanaosumbuliwa kulipa kodi ni wafanyabiashara wenye vifrem na maduka ili hali kuna viwanda vingi bubu visivyo na majina vya wachina vimefunguliwa ktk ya makazi watu na havilipi Kodi.

Viwanda hivi vinazalisha malighafi mbalimbali km taa ZA majumbani, mabati, nondo, funiture, mapambo na vipuri mbalimbali lakini ajabu Hakuna watu wa TRA au MANISPA wanaopita kwenda kuchukua kodi wala ushuru.

Serikali wanawaza kukopa tu na kula Kwa UREFU wa kamba ili hali wazawa wanateseka na kodi kandamizi huku wachina wakiishi km peponi bila kulipa kodi.

Pia kuna machine za kichina za Kamari karibu kila mtaa na hakuna Kodi inayochukuliwa Bali walalahoi wananyonywa tu na machina
Mkuu sijui hata kama unajua kodi inalipwaje, kwamba unahisi Tra wanapita madukani ama viwandani kukusanya kodi? Hapa inakupotezea credibility japo inawezekana una hoja.

Inawezekana wasipite na watu wakalipa kodi.
 
Mkuu sijui hata kama unajua kodi inalipwaje, kwamba unahisi Tra wanapita madukani ama viwandani kukusanya kodi? Hapa inakupotezea credibility japo inawezekana una hoja.

Inawezekana wasipite na watu wakalipa kodi.
Mimi Ni mlipa kodi namiliki frem kadha tena huwa nakupa TRA na MANISPA, nauhakika na ninachokisema
 
Wasalaam
Tanzania yetu kuja kujitegemea itachukua karne nyingi sana kwa sababu mamlaka za kiserikali za kusimamia makusanya ya kodi zimefeli na hazina ubunifu.

Kwa mfano hapa Dar wanaosumbuliwa kulipa kodi ni wafanyabiashara wenye vifrem na maduka ili hali kuna viwanda vingi bubu visivyo na majina vya wachina vimefunguliwa ktk ya makazi watu na havilipi Kodi.

Viwanda hivi vinazalisha malighafi mbalimbali km taa ZA majumbani, mabati, nondo, funiture, mapambo na vipuri mbalimbali lakini ajabu Hakuna watu wa TRA au MANISPA wanaopita kwenda kuchukua kodi wala ushuru.

Serikali wanawaza kukopa tu na kula Kwa UREFU wa kamba ili hali wazawa wanateseka na kodi kandamizi huku wachina wakiishi km peponi bila kulipa kodi.

Pia kuna machine za kichina za Kamari karibu kila mtaa na hakuna Kodi inayochukuliwa Bali walalahoi wananyonywa tu na machina
una uhakika na hili au ni mashanio yako tu?
 
Wasalaam
Tanzania yetu kuja kujitegemea itachukua karne nyingi sana kwa sababu mamlaka za kiserikali za kusimamia makusanya ya kodi zimefeli na hazina ubunifu.

Kwa mfano hapa Dar wanaosumbuliwa kulipa kodi ni wafanyabiashara wenye vifrem na maduka ili hali kuna viwanda vingi bubu visivyo na majina vya wachina vimefunguliwa ktk ya makazi watu na havilipi Kodi.

Viwanda hivi vinazalisha malighafi mbalimbali km taa ZA majumbani, mabati, nondo, funiture, mapambo na vipuri mbalimbali lakini ajabu Hakuna watu wa TRA au MANISPA wanaopita kwenda kuchukua kodi wala ushuru.

Serikali wanawaza kukopa tu na kula Kwa UREFU wa kamba ili hali wazawa wanateseka na kodi kandamizi huku wachina wakiishi km peponi bila kulipa kodi.

Pia kuna machine za kichina za Kamari karibu kila mtaa na hakuna Kodi inayochukuliwa Bali walalahoi wananyonywa tu na machina
Wapo busy kukusanya 50,000 kwa kila heka ya mkulima wa mpunga wilaya ya Mbalali kama kodi ya matumizi ya maji ya mvua. Wiki ijayo kwa kila atakayekaidi anapelekwa mahakamani.

Mchina endelea kupiga kazi, wanakulipia kodi wapo.
 
Back
Top Bottom