Ni kwanini ukidownload MB 10, Matumizi ya Data yanaonyesha kifaa kimetumia MB 12.

Ni kwanini ukidownload MB 10, Matumizi ya Data yanaonyesha kifaa kimetumia MB 12.

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Kwa simu tofauti na laptops nimefanya hii ishu na nimekosa jibu, hata Nikitumia router au modem nayo ni hivyo hivyo.

Nilidhani ni janja janja za mitandao labda kuna vitu vyao ila nishajaribu line 4 tofauti, ni hivyo hivyo.

Nadownload file la MB 10 lakini Data usage inaonyesha MB 12,,,

Hii ni kwanini.

Mafile huwa nayapima kabisa ni MB 10, mfano naweza kushusha kutoka >> hapa <<
 
Kwa simu tofauti na laptops nimefanya hii ishu na nimekosa jibu, hata Nikitumia router au modem nayo ni hivyo hivyo.

Nilidhani ni janja janja za mitandao labda kuna vitu vyao ila nishajaribu line 4 tofauti, ni hivyo hivyo.

Nadownload file la MB 10 lakini Data usage inaonyesha MB 12,,,

Hii ni kwanini.

Mafile huwa nayapima kabisa ni MB 10, mfano naweza kushusha kutoka >> hapa <<
Unapimaje hiyo "Data usage" yako nadhani kuna makosa hapo, pia hiyo link haifanyi kazi.
 
Baada ya ku-download file lako siyo kwamba linajisevu hivyo hivyo zima zima, ila linaji-convert kwanza ili lisiwe na hitilafu ndogo ndogo. na hapo ndipo data huliwa pia
 
Nadhani ni browser unayotumia,mfano ukidownload file la video lenye mb 10 lets say,ukidownload kwa Browser kama Google chrome linabaki vilevile mb 10,lakini ukidownload file hilohili kupitia operamini linaweza likasoma mb 11na kuendelea nakuwekea mifano ya picha uone..
 
Shida iko pale unakuta voda wao, wamekata 15😥😥😥
 
Nadhani ni browser unayotumia,mfano ukidownload file la video lenye mb 10 lets say,ukidownload kwa Browser kama Google chrome linabaki vilevile mb 10,lakini ukidownload file hilohili kupitia operamini linaweza likasoma mb 11na kuendelea nakuwekea mifano ya picha uone..
Mimi ninadownload movies kupitia Google Chrome.
Mfano muvi ikiwa 360MB halafu salio langu ni 370MB, basi downloading haikamiliki
Ili kudownload file la 360MB huwa ninahakikisha kuwa nina walau 390MB kwenda juu
 
Back
Top Bottom