MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kodi zinatumika hovyo. Binadam hawakosi storyWhy watu Wana obsession na hii hospital?
Mngeambiwa alilazwa St Thomas London mngesemaje?
Wana Familia ya Mzena.Hivi hiyo hospital ni kwa ajili ya kina nani?
Jaribu kutembelea mitaa ya MakumbushoIko wapi hiyo hospital
Ya Serikali au Private
Viongozi na viongozi wakubwa wakiumwa hutibiwa hapo mbona kitambo sana tu.Hivi hiyo hospital ni kwa ajili ya kina nani??
Ina maana hata yule mzee wetu wa kutuita marofa alikuwa anatibiwa pale?Nilibahatika kuingia hiyo hospital tulienda kumuona baba wa mshkji wangu alilazwa hapo
Aise hyo hospitali si mchezo ina vifaa vyote vya kisasa
Viongozi wengi hutibiwa hapo hapo kuna madaktari wa viongozi wote
Ngoja tuishie hapa
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Asante mkuu umenipa elimu nilikuwa silifahamu hili kabisa,Nilibahatika kuingia hiyo hospital tulienda kumuona baba wa mshkji wangu alilazwa hapo
Aise hyo hospitali si mchezo ina vifaa vyote vya kisasa
Viongozi wengi hutibiwa hapo hapo kuna madaktari wa viongozi wote
Ngoja tuishie hapa
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hata marekani viongozi wao wakiumwa wanapelekwa hospital zao mfano Walter Reed etcAsante mkuu umenipa elimu nilikuwa silifahamu hili kabisa,
Nashangaa wakati watu wanaijua kitambo sanaaKwani mkuu unaumia na nini juu ya Mzena? Wakilazwa hapo wagonjwa unatesekea nini? Ulisikia pale ni ya kila mtu ndo uende ende?
Ila unashangaza sana mtanzania mwenzangu. Ulienda kwa kufata protocol inavyopaswa ama ukienda na mziki wako mkubwa masifa sifa etc?
Na aliyekuambia ninkila kiongozi anatibiwa hapo ni nani? Na mbona ni hispital ya siku nyingi sana hiyo ndo mnaijua leo ama?
Nimekuelewa mkuu,Hata marekani viongozi wao wakiumwa
Wanapelekwa hospital zao mfano walter reed etc
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Mzena ni hospitali ya mashushu na askari kanzu.Sasa kwanini tu kwakuwa mmeamua Kutuficha Watanzania kuhusu Kulazwa Kwao hapo Mzena Hospital basi hata Wakifa ( Wakifariki ) msiendelee pia Kutuficha kwa Kutotujajia hiyo Hospitali na badala yake muendelee tu na Ratiba zenu za Maziko nyie nyie kama nyie pamoja na Wauguzi wa Mzena Hospital na wale Walinzi Wanoko wenye Maswali ya Kukomoa pale Getini Makumbusho? Tumeivumilia hii tabia tumechoka na badilikeni!
Nafikiri kwa suala la usalama wa viongozi kulingana na majukumu yao ya kazi, kivipi? mfano kiongozi ametatua mgogoro wa mtu maskini na tajiri, na tajiri akawa ameshindwa kesi lakini hajafurahisha na adui yake hapo namba moja ni huyo kiongozi msuluhishaji. Sasa tajiri anao uwezo wa kumdhuru kiongozi kwa njia tofauti, hivyo usalama elekezi ni muhimu kwa viongozi hasa wa afya zao.Sasa kwanini tu kwakuwa mmeamua Kutuficha Watanzania kuhusu Kulazwa Kwao hapo Mzena Hospital basi hata Wakifa ( Wakifariki ) msiendelee pia Kutuficha kwa Kutotujajia hiyo Hospitali na badala yake muendelee tu na Ratiba zenu za Maziko nyie nyie kama nyie pamoja na Wauguzi wa Mzena Hospital na wale Walinzi Wanoko wenye Maswali ya Kukomoa pale Getini Makumbusho? Tumeivumilia hii tabia tumechoka na badilikeni!
Nilibahatika kuingia hiyo hospital tulienda kumuona baba wa mshkji wangu alilazwa hapo
Aise hyo hospitali si mchezo ina vifaa vyote vya kisasa
Viongozi wengi hutibiwa hapo hapo kuna madaktari wa viongozi wote
Ngoja tuishie hapa
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Mkuu baada ya viongozi kuhamia dodoma nayo wataihamisha au inabaki.Ile ni kwa ajili ya viongozi tu
Sasa kama mtu anataka matibabu ajipeleke tu pale [emoji23][emoji23][emoji23]naona sahv watu wanaulizia
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app