Ni Kwanini Watoto Mapacha (Kulwa&Dotto)Mmoja anakua na A.K.A na Mwingine asiwe Nayo?

Robidinyo

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
4,043
Reaction score
8,686
Wanapozaliwa Watoto mapacha mkubwa uitwa Kulwa na mdogo Uitwa Dotto, huyu dotto automatically uitwa Doi

Hili Doi lilitokana na nini? Wajuvi mtujuze
 
Familia husika.

Kwetu pacha wetu wanaitwa KUBWA NA DOGO, hawakuitwa Kulwa na Doto kabisa.
 
Pacha wa kwetu, ni Tuzinde na Mshinda.
 
Wanapozaliwa Watoto mapacha mkubwa uitwa Kulwa na mdogo Uitwa Dotto, huyu dotto automatically uitwa Doi

Hili Doi lilitokana na nini? Wajuvi mtujuze
Kanda ya ziwa hasa wasukuma ndo wanamuita Dotto Doi. Huenda doi ni kilugha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…