Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Kwahiyo ulaya na marekani hakuna wivu?Nadhani hii ni Africa tu. Sio binadamu wote
Wivu wa kijinga upo nchi zenye watu wenye nywele za kipili pili tu.Kwahiyo ulaya na marekani hakuna wivu?
Wivu wa kijinga ndio nini dada? wivu ni wivu tu.Wivu wa kijinga upo nchi zenye watu wenye nywele za kipili pili tu.
Na kwa hilo amefanikiwa kweli. Ona sasa Tanzania imeshika mkia kwa viwango vya watu wenye furaha Duniani!hata mkuu wa Nchi anataka Raia wake waishi kama mashetani ndio feature mojawapo ya Jitu jeusi...
Kuna wivu wa kijinga na wivu wj maendeleo buana.Wivu wa kijinga ndio nini dada? wivu ni wivu tu.