Mwambie huyo Rafiki yako amwambie bwana wake kabla ya Tendo la mapenzi awe anamchezea chea mwilini sehemu muhimu za kike kwa mfano huyo bwana awe anamnyonya maziwa yakeJamani naomba mnieleweshe kuna rafiki yangu ameniadisia kuwa yeye anaposex huwa hatoi yale majimaji ambayo mwanamke anatakiwa kutoka wakati wa kufanya mapenzi kwahiyo yeye mpz wake huwa antumia mate kwa sana kumpaka ndio alainike na ndio waendelee kusex yaaan yupo mkavu sana,ni mara chache sana huwa inamtokea, je hilo ni tatizo la kiafya au ni tatizo la nn? nisaidieni kujibu ilinimuelekeze na yeye.
Asante kwa ushauri wako anapofanya hawazi chochote,lakini kama ulivyosema inambidi hamuone doctor.:A S 465:Mwambie asiogope kabisa, siku zote mapenzi sio kuchomeka tu bali maandalizi yakuchomeka ni lazima, KUNA SABABU NYINGI AMBAZO MWANAMKE HATOI MAJI, KWANZA KABISA KAMA HAYUPO KTK MUD HATATOA, PILI WAKATI ANAFANYA MAWAZO YAWEPO HAPO ASIWAWAZIE WATOTO AU MAMBO MENGINE, TATU WATOMASANE KWA KIPINDI KIDOGO NA YEYE MWENYEWE AANGALIE KAMA UTE UMETOKA. AKIONA HAYA YOOTE HAYATOKEI BASI AKAMWONE DOCTOR.😛oa
sawa kaka nmekuelewa nitafikisha ujumbe.Hapohakuna ugonjwa wowote ule ishu hapo ni maandalizi yapi huwa wanayafanya kabla ya kupiga mechi na yeye huwa anakuwa kwenye hali gani (mud) kabla ya tendo.
Hiii ndiyo tabu ya kizazi cha leo hakuna vijana hawafundwi kbs na kufunzwa mambo muhim kama hayo.
Unajua cyo mila zote ni mbaya zingine ni nzuri na madhara ya kuzikataza baadhi ya mila ndiyo matokeo yake haya sasa kila kukicha ndoa zinavunjika kwa vijana kukosa kufunzwa.
Wew unafikiri huyo dada akikutana na mtaalam ampige shughuli ya ukweli unafikiri atataman kufanya mapenz kwel na mumewe??
sawa nitamwambia..........mkubwa........Mwambie huyo Rafiki yako amwambie bwana wake kabla ya Tendo la mapenzi awe anamchezea chea mwilini sehemu muhimu za kike kwa mfano huyo bwana awe anamnyonya maziwa yake
huyo Mwanamke huyo bwana awe anamchezea sehemu ya uke wake haswa kwenye ( Clitoris) huyo bwana awe anamnyonya mdomo wake huyo mwanamke wake mpaka kutakapo kuwa laini huko chini ndio waanze hiyo mechi yao ya mpira hiyo itasaidia kwa mwanamke kutoka maji sehemu yake ya siri.
hhuyu rafiki yangu hajaolewa na anapokuwa na mahusiano ya kimapenzi hakai mda mrefu kwasababu hiyo,so inmkuta kila leo anabadilisha wanaume wengi.mara nyingi hili huwatokea wanawake walio olewa, hasa anapokuwa na mazoa sana na mwenzi wake, cha ajabu ni kuwa anapotoka na mtu mwingine hali inakuwa tofauti kabisa.