Ni kweli au sio kweli? Toa sababu za msingi

Ni kweli au sio kweli? Toa sababu za msingi

Nakadori

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
8,778
Reaction score
21,010
FB_IMG_1657099856332.jpg
 
Ila mnatunyima wanaume wa hapa jf kwa nini wakati mnakubali kuwa ni muhimu kuwa na mafiga matatu ili msiumie kwenye mapenzi
🤣🤣🤣
Jf hata vocha ya buku 10 tu mnaleta ubahili kutuma ya nini kuongeza matatizo
 
Mwaka wa 5 huu na ninamshukuru Mungu bado ipo na biashara kidogo afadhali
 
🤣🤣🤣
Jf hata vocha ya buku 10 tu mnaleta ubahili kutuma ya nini kuongeza matatizo
Sasa jamani hapa sii inasemekana kuwa nyie ni ma superwoman, sasa superwoman anaombaje tena vocha, yeye sii anachukulia wanaume kama chombo cha starehe, ishu ni kuburudika tuu
 
Back
Top Bottom