Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli mtupu ..nilikujankugundua kuwa na wanawake watatu inakufanya uenjoy sana maisha sema ndio vile sahau kujenga.
Sas sii utaishia kuwa mwanachama wa chaputani kweli.. wala si uongo bora ujikalie zako single tu
Umalaya hauwezi kupungua. Utandawazi umechangia kwa zaidi ya 60%Unashaurije mkuu ili upungue?
Yani Kama Mimi nampango wa kutafuta jimama nile nae pesa yangu ya urithiDahh sasa tuongeze ongeze ili tusiumie eeh
Ila mnatunyima wanaume wa hapa jf kwa nini wakati mnakubali kuwa ni muhimu kuwa na mafiga matatu ili msiumie kwenye mapenziDahh sasa tuongeze ongeze ili tusiumie eeh
Sasa jamani hapa sii inasemekana kuwa nyie ni ma superwoman, sasa superwoman anaombaje tena vocha, yeye sii anachukulia wanaume kama chombo cha starehe, ishu ni kuburudika tuu🤣🤣🤣
Jf hata vocha ya buku 10 tu mnaleta ubahili kutuma ya nini kuongeza matatizo
Ndipo tulipoifikisha dunia. Hatari tupu.Umalaya umeshika kasi Sana kwenye kizazi hiki. Mtu kuwa na wapenzi wengi Ni sifa njema, oorriid!
Hadi naogopa kuwa na watotoNdipo tulipoifikisha dunia. Hatari tupu.