Ni kweli Biharamulo kuna handaki kubwa?

Ni kweli Biharamulo kuna handaki kubwa?

Gaddaf i06

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2022
Posts
1,770
Reaction score
2,841
Unaijuwa biharamulo?

Biharamulo ni wilaya mojawapo inayopatikana mkoa wa Kagera.
Kwakweli Biharamulo imejaaliwa sana, wilaya nzima ni kijani Imezungukwa na misitu!

Kimisi, Burigi, Kasindaga n.k, huko nimefika, nimeona wanyama wengi, miti, ndege na mapango ya kustaajabisha!

Lakini juzi katika pitapita zangu nikapata stori kwamba pale Biharamulo kuna handaki kubwa (trench) linalopita chini kwa chini from B.mulo town to Lusahunga! Ni kati ya KM 35-40[emoji848][emoji848].

je, ni kweli handaki hilo lipo? lilipatikana patikanaje[emoji848][emoji848]?
 
Unaijuwa biharamulo?

Biharamulo ni wilaya mojawapo inayopatikana mkoa wa KAGERA.
Kwakweli biharamulo imejaaliwa sana wilaya nzima ni kijani Imezungukwa na misitu!
kimisi,burigi, kasindaga nk huko nimefika, nimeona wanyama wengi, miti, ndege na mapango ya kustaajabisha!

lakini juzi katika pitapita zangu, nikapata stori kwamba pale biharamulo kuna handaki kubwa (trench) linalopita chini kwa chini from b.mulo town to lusahunga!
ni kati ya KM 35-40[emoji848][emoji848]

je ni kweli handaki hilo lipo? lilipatikana patikanaje[emoji848][emoji848]
 
Zingine siri ya kambi wewe,kwani hujauliza lipo hapo kabla wewe hujazaliwa,
 
Na ukimwi wangu niliupatia biharamulo. Wale wa lukalagata, mgurukani, teule, rest nk.

Kyagata ni wa bimlo
 
Back
Top Bottom