Dark City JF-Expert Member Joined Oct 18, 2008 Posts 16,253 Reaction score 11,626 Feb 6, 2009 #1 Nimekutana na picha kwenye mtandao (Bongo Pix) inayoonesha kuwa BOT imekutwa ikiwaka moto. Je hii habari ni kweli??
Nimekutana na picha kwenye mtandao (Bongo Pix) inayoonesha kuwa BOT imekutwa ikiwaka moto. Je hii habari ni kweli??
Nemesis JF-Expert Member Joined Feb 13, 2008 Posts 5,517 Reaction score 4,477 Feb 6, 2009 #2 BOT inawaka moto?, picha kwa hisani ya Michuzi blog Ni uzushi tu! LOL Attachments BOT yaungua.bmp BOT yaungua.bmp 588.2 KB · Views: 225
Nemesis JF-Expert Member Joined Feb 13, 2008 Posts 5,517 Reaction score 4,477 Feb 6, 2009 #4 Bongo Pix: BOT yawaka moto???? hawa wametengeneza picha hii, wameturusha roho konoma.
Zogwale JF-Expert Member Joined Jul 10, 2008 Posts 15,295 Reaction score 10,928 Feb 6, 2009 #5 Labda alimaanisha kuungua moto kwa aina nyingine. Kuwa labda uozo uliopo mle umesababisha moto kwa baadhi ya wafanyakazi na kuwa moto huo unaendelea kuteketeza ........ Mhuo ndo mtazamo wangu wakuu.
Labda alimaanisha kuungua moto kwa aina nyingine. Kuwa labda uozo uliopo mle umesababisha moto kwa baadhi ya wafanyakazi na kuwa moto huo unaendelea kuteketeza ........ Mhuo ndo mtazamo wangu wakuu.
Next Level JF-Expert Member Joined Nov 17, 2008 Posts 3,153 Reaction score 180 Feb 6, 2009 #6 Kwa nini wafanye hivyo? Jokes should have limits!
Exaud J. Makyao JF-Expert Member Joined Nov 30, 2008 Posts 1,518 Reaction score 24 Feb 6, 2009 #7 Watu mlioko Dar tujuzeni ukweli.
Nemesis JF-Expert Member Joined Feb 13, 2008 Posts 5,517 Reaction score 4,477 Feb 6, 2009 #8 EXAUD J. MAKYAO said: Watu mlioko Dar tujuzeni ukweli. Click to expand... ebanae hakuna ukweli hapo, kama jamaa alivyosema hapo juu utani unapaswakuwekewa limit.
EXAUD J. MAKYAO said: Watu mlioko Dar tujuzeni ukweli. Click to expand... ebanae hakuna ukweli hapo, kama jamaa alivyosema hapo juu utani unapaswakuwekewa limit.
Kiranga Platinum Member Joined Jan 29, 2009 Posts 78,790 Reaction score 128,275 Feb 7, 2009 #9 Kawaida Benki Kuu wanachoma moto noti zilizochakaa. Kwa watu walio karibu pale ni kitu kinachotokea mara nyingi tu.
Kawaida Benki Kuu wanachoma moto noti zilizochakaa. Kwa watu walio karibu pale ni kitu kinachotokea mara nyingi tu.
bm21 JF-Expert Member Joined May 12, 2008 Posts 774 Reaction score 36 Feb 7, 2009 #10 Tafadhari hapa sio sehemu ya jokes kunawatu wanapressure hebu tujaribu kuwalinda tafadhali eh jamani.
Tafadhari hapa sio sehemu ya jokes kunawatu wanapressure hebu tujaribu kuwalinda tafadhali eh jamani.