Ni kweli BOT imeungua kwa moto?

Dark City

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2008
Posts
16,253
Reaction score
11,626
Nimekutana na picha kwenye mtandao (Bongo Pix) inayoonesha kuwa BOT imekutwa ikiwaka moto. Je hii habari ni kweli??
 
BOT inawaka moto?, picha kwa hisani ya Michuzi blog

Ni uzushi tu! LOL
 

Attachments

Labda alimaanisha kuungua moto kwa aina nyingine. Kuwa labda uozo uliopo mle umesababisha moto kwa baadhi ya wafanyakazi na kuwa moto huo unaendelea kuteketeza ........ Mhuo ndo mtazamo wangu wakuu.
 
Kwa nini wafanye hivyo? Jokes should have limits!
 
Kawaida Benki Kuu wanachoma moto noti zilizochakaa. Kwa watu walio karibu pale ni kitu kinachotokea mara nyingi tu.
 
Tafadhari hapa sio sehemu ya jokes kunawatu wanapressure hebu tujaribu kuwalinda tafadhali eh jamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…