Ni kweli chadema inafadhiliwa na ujerumani kugomea muswaada wa katiba mpya na kuleta vurugu?

Nyie CHADEMA lazima mtashutumiwa hvyo kwa sababu habari za yule Kameroun mlikaa kimya!!!!!!
Kama kweli mna mabwana zenu Ulaya,msituletee masuala ya kis*ng* hapa!!!!!!!
 

kiukweli hamkwepi kabisa msaada wa ujerumani kwa cdm ni wazi na hasa chama christian democratic ndio mabwana wa cdm tukiongezea na shoga cameroon ni marafiki wakaribu wa mbowe/cameroon ni patner ktk ushoga wao
 
Serikali ya Ujerumani kupitia ubalozi wao hapa nchini, walazimishe wizara ya mambo ya nje kutoa ufafanuzi wa taarifa ya Lusinde aliyoirudia zaidi ya mara mbili, kuwa Ujerumani wanafadhili cdm kuleta machafuko hapa nchini.
 

Hii kazi ya kufafanua haitakaa iishe, kama anataka kujifurahisha yule mgogo aliyepotea ofcourse ndiyo zao wagogo! aendelee na maneno haya ambayo hayana tija yoyote kwa wa-Tanganyika, the other time mwingine alisema CDM inafadhiliwa na Conservative chama tawala cha Uingereza, kama unataka lijadiliwe hili basi weka wazi nchi nyingine zote pamoja na USA na ujiulize kama una akili timamu kwa nini hawa wote wanaifadhili CDM? kama hawajawachoka magamba na uomba omba wao? NDIYO CDM itaendelea kufadhiliwa hata na South Africa kwa sababu wanatuonea huruma wa-Tanganyika jinsi ilivyo sasa akina Shimbo kujirimbikizia mipesa ya kutukuka, wanao uhakika kwamba CDM itaingia madarakani na tunao uwezo wa kukimbiza uchumi mpaka tutawafikia SA, na kuingia katika mataifa yanayoheshimika kama Angola inavyokimbiza, pia Brazil, Mexico etc.
 
Hao Chama cha majambazi(CCM) waache kuwatengenisha wananchi na viongozi wao waadilifu wa CHADEMA.
 
kiukweli hamkwepi kabisa msaada wa ujerumani kwa cdm ni wazi na hasa chama christian democratic ndio mabwana wa cdm tukiongezea na shoga cameroon ni marafiki wakaribu wa mbowe/cameroon ni patner ktk ushoga wao

Hapa ndiyo mwisho wako wa kufikiri na unajiita Great Thinker?!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…