Ni kweli Chato Airport watu wanaanikia Mpunga?

Ni kweli Chato Airport watu wanaanikia Mpunga?

Lusungo

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
28,259
Reaction score
41,416
Nikiri hupenda sana kumsikiliza Tundu Lissu akiwa kwenye operation 255 za CHADEMA zinazoendeleq mikoani...

Si mara moja au mbili Lissu amesikika akisema Chato Airport haina ndege wakazi wake wanaanikia mpunga...

Jana akiwa Katavi kasema stand ya mabasi chato watu wanaanikia mpunga...

Je hizi taarifa ni za kweli? Mbona serikali imekalia kimya tuhuma hizi?

my take: Kama si kweli zitamshushia thamani sana Tundu Lissu kama nayeye amekua mwanasiasa mwongo na mzushi sana.
 
.
20230510_085215.jpg
 
Nikiri hupenda sana kumsikiliza Tundu Lissu akiwa kwenye operation 255 za CHADEMA zinazoendeleq mikoani...

Si mara moja au mbili Lissu amesikika akisema Chato Airport haina ndege wakazi wake wanaanikia mpunga...

Jana akiwa Katavi kasema stand ya mabasi chato watu wanaanikia mpunga...

Je hizi taarifa ni za kweli? Mbona serikali imekalia kimya tuhuma hizi?

my take: Kama si kweli zitamshushia thamani sana Tundu Lissu kama nayeye amekua mwanasiasa mwongo na mzushi sana.
Ndio maana Chadema wanaogopa kujenga Ofisi ya Makao Makuu wanaweza kufugia nguruwe baadae!!!
 
Nikiri hupenda sana kumsikiliza Tundu Lissu akiwa kwenye operation 255 za CHADEMA zinazoendeleq mikoani...

Si mara moja au mbili Lissu amesikika akisema Chato Airport haina ndege wakazi wake wanaanikia mpunga...

Jana akiwa Katavi kasema stand ya mabasi chato watu wanaanikia mpunga...

Je hizi taarifa ni za kweli? Mbona serikali imekalia kimya tuhuma hizi?

my take: Kama si kweli zitamshushia thamani sana Tundu Lissu kama nayeye amekua mwanasiasa mwongo na mzushi sana.
Hiyo ni ridicule au satire, kumaanisha hakuna safari nyingi za ndege ukilinganisha na JPM alipokua hai.
 
Nikiri hupenda sana kumsikiliza Tundu Lissu akiwa kwenye operation 255 za CHADEMA zinazoendeleq mikoani...

Si mara moja au mbili Lissu amesikika akisema Chato Airport haina ndege wakazi wake wanaanikia mpunga...

Jana akiwa Katavi kasema stand ya mabasi chato watu wanaanikia mpunga...

Je hizi taarifa ni za kweli? Mbona serikali imekalia kimya tuhuma hizi?

my take: Kama si kweli zitamshushia thamani sana Tundu Lissu kama nayeye amekua mwanasiasa mwongo na mzushi sana.
Unajua maana ya tafsiri wewe😂.Kama ilitakiwa kutua ndege 500 kwa mwaka zikatua kumi,akisema uwanja unafanikiwa mpunga?amekosea wapi?
 
Nimetoka Chato March, miaka mitatu ijayo Chato itakuwa kama kwa mabutu.

Hata hotel za mzee pale karibu na airport zimeota majani, geti bovu... na wasipoangalia kile kipori pale kitaleta nyoka hadi ndani.

Sio uwanja wa ndege na Stand pekee, hata CRDB kote huko hakuna kinachoendelea..
 
Usiamini maneno ya wanasiasa.huo uwanja unatakiwa waboreshe jengo la abiria.kwa sasa abria wengi sana wanamiminika kwenda kutalii hifadhi ya burigi.magufuli aliona mbali sana kuwajengea wtz uwanja mzuri wa chato

Sent using Jamii Forums mobile app
Wataliii wengi kutoka wapi wanaoenda kutalii burigi?hebu acha uongo,stand tu ya chato imekaa kama mahame itakuwa uwanja wa ndege🤔
 
Nimetoka Chato March, miaka mitatu ijayo Chato itakuwa kama kwa mabutu.

Hata hotel za mzee pale karibu na airport zimeota majani, geti bovu... na wasipoangalia kile kipori pale kitaleta nyoka hadi ndani.

Sio uwanja wa ndege na Stand pekee, hata CRDB kote huko hakuna kinachoendelea..
Tatizo nini ?
 
Magufuli ni selfish sana. Ile miradi ilitakiwa kuwa Geita. Hata makao makuu ya Chato yalitakiwa kuna Katoro
 
Nina kiwanja chenye sq.m 987 hapo Chato nakiuza, anayehitaji njoo inboksi!
 
Nimetoka Chato March, miaka mitatu ijayo Chato itakuwa kama kwa mabutu.

Hata hotel za mzee pale karibu na airport zimeota majani, geti bovu... na wasipoangalia kile kipori pale kitaleta nyoka hadi ndani.

Sio uwanja wa ndege na Stand pekee, hata CRDB kote huko hakuna kinachoendelea..
So sad
 
Nimetoka Chato March, miaka mitatu ijayo Chato itakuwa kama kwa mabutu.

Hata hotel za mzee pale karibu na airport zimeota majani, geti bovu... na wasipoangalia kile kipori pale kitaleta nyoka hadi ndani.

Sio uwanja wa ndege na Stand pekee, hata CRDB kote huko hakuna kinachoendelea..
Acha uongo ukuaji wa Chato umepungua kasi tu lakini haitakaa itokee iwe kama Mobutu!
 
Back
Top Bottom