Kama mnavosikia wakuu mabilioni yanamwagika huko na hali inavoonekana yataendelea kumwagika.
Sasa kwa watu wanaowekeza haifai kwenda kufungua biashara huko.Mambo ya kawaida tu kama Maduka (Wholesale&Retail),mambo ya huduma kama Mobile money transfer,Nyumba na vyumba vya biashara,maeneo ya ardhi n.k
Hali imekua tete .........