Ni kweli CORONA ni hatari tena hatari sana tuunganeni na Amiri jeshi mkuu wetu kwenye hii Vita kila mmoja wetu awe chachu ya Mabadiliko be the change


Hivi kila kitu lazima mumchomeke huyo rais wenu? Sisi ni watu wazima tunaweza kujilinda bila kumtegemea huyo rais wenu. Kila kitu rais wetu rais wetu. Yeye atakeleze nafasi yake kutokana na mshahara anaolipwa, na sisi tutatekeleza wajibu wetu, sio mambo ya kutuletea habari za rais wenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…