mohammad_othar JF-Expert Member Joined Jan 9, 2013 Posts 247 Reaction score 42 Jul 6, 2013 #1 Kuna mtu aliyejaribu kubadilisha programme zake na ikakubali baada ya jana saa 11.59 p.m? kama inakubali naomba mnijuze
Kuna mtu aliyejaribu kubadilisha programme zake na ikakubali baada ya jana saa 11.59 p.m? kama inakubali naomba mnijuze
Erick zeph Stanley JF-Expert Member Joined Apr 25, 2013 Posts 647 Reaction score 72 Jul 6, 2013 #2 Hazikubali mkuu
mohammad_othar JF-Expert Member Joined Jan 9, 2013 Posts 247 Reaction score 42 Jul 6, 2013 Thread starter #3 Poa inasemaje kwani?
Erick zeph Stanley JF-Expert Member Joined Apr 25, 2013 Posts 647 Reaction score 72 Jul 6, 2013 #4 Aisemi ktu inalog in kama kawa bt hauwez kubadili application
M MAKAH JF-Expert Member Joined Sep 27, 2010 Posts 1,582 Reaction score 267 Jul 6, 2013 #5 unachowezafanya ni kuitembelea profile yako. na kama checking in progress ipo bofya maneno mekundu CLICK HERE uone kama una YES ngapi na NO ngapi lakini hakuna zaidi ya hapo Lango limeshafungwa
unachowezafanya ni kuitembelea profile yako. na kama checking in progress ipo bofya maneno mekundu CLICK HERE uone kama una YES ngapi na NO ngapi lakini hakuna zaidi ya hapo Lango limeshafungwa