Ni kweli deadline ya tcu ilikua jana tar 5 ?

mohammad_othar

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
247
Reaction score
42
Kuna mtu aliyejaribu kubadilisha programme zake na ikakubali baada ya jana saa 11.59 p.m? kama inakubali naomba mnijuze
 
unachowezafanya ni kuitembelea profile yako. na kama checking in progress ipo bofya maneno mekundu CLICK HERE uone kama una YES ngapi na NO ngapi lakini hakuna zaidi ya hapo Lango limeshafungwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…