oyaa mchizi lazima education kwanza halafu mambo mengine yatafuata .Just think of this u have money but no education hw will you manage this money so that you can get more of it. Elimu lazima
Afadhali nijiendeleze kimasomo mkuu.Ok poa pesa nimepata nimefanya biashara ila kitu ninachokipata ni loss tu.Huoni khwa kama ingekuwa nimeenda shule halafu hii situation iwe imenifika unwdhani sitakuwa na kitu ambacho naeza think about kwa Yale mafunzo ambayo nimepata Iliku kujiinua tenaPesa ndo mpnago mzima mkuu.... Wapo wenye pesa kibao ila elimu hamna en ukiangalia asilimia kubwa ya matajiri hawakusoma so wameajili waliosoma au kuwasomesha watoto wao ili kumanage biashara zao..... Hivi unadhani sahiv ikatokea umeambiwa upewe pesa milion 100 au upelekwe kujiendeleza kimasomo kipi utakubali mkuu?
Afadhali nijiendeleze kimasomo mkuu.Ok poa pesa nimepata nimefanya biashara ila kitu ninachokipata ni loss tu.Huoni khwa kama ingekuwa nimeenda shule halafu hii situation iwe imenifika unwdhani sitakuwa na kitu ambacho naeza think about kwa Yale mafunzo ambayo nimepata Iliku kujiinua tena