Ni kweli fisi ana jinsia mbili?

Ni kweli fisi ana jinsia mbili?

ngagani

Member
Joined
Feb 21, 2015
Posts
43
Reaction score
8
Wapendwa naomba kujua ni kweli fisi anajinsia mbili (jinsia ya kiume na ya kike).

Ndugu zangu habari zenu

Si kweli kuwa fisi ana jinsia mbili isipokuwa fisi tuliyemzoea aitwae spotted hyena (crocuta crocuta) jinsia ya kike ukimwona awapo mkubwa utasema ni dume kwa kuwa sehemu zake za uzazi zimechomoza nje kama uume hii imetokea kwa sababu maalumu ikiwamo kudhibiti kuzaana! nikimaanisha katka kuzaana fisi dume yampasa kuwa mpole sana na mwenye hulka nzuri ndio ataweza kumvutia jike aweze kusimamisha uchi wake ukae katika namna ambayo uume utapenya! kwa hiyo ni lazma jike aridhike na ndio maana fisi madume hawapiganii jike ila wanaonyesha matendo mema ikiwepo usafi ndio jike atapata mzuka na kuchagua bwana ambae anadhani atakuwa mwema kulinda familia!

NIMEFURAHISHWA NA MADA HII SANA NA MIMI NI MSOMI WA MASWALA YA VIUMBEPORI TOKA UDSM! NATUMAI NIMEJIBU VEMA
 
mkuu ngagani
hata mimi nilishasikia hilo kutoka kwa wazee, walimuua wakaona hivyo, labda watalaam wa wanyama watusaidie kuthibitisha hilo
 
The external genitalia of the female spotted hyena are so similar to those of the male that for centuries people believed these animals to be hermaphrodites. In contrast to other female mammals, including female striped and brown hyenas, the female spotted hyena has no external vaginal opening....

Endelea hapa
 
Ni moja mkuu kama ni dume basi ni dume na kama ni jike basi nijike tu,tulimuua majuzi alikuwa dume hakuwa na k kama ulivyodanganywa
 
Muulize kinana maana naona wanawatumia sana kwenye mikutano yao ckuhiz..!!
 
Ndugu zangu habari zenu

Si kweli kuwa fisi ana jinsia mbili isipokuwa fisi tuliyemzoea aitwae spotted hyena (crocuta crocuta) jinsia ya kike ukimwona awapo mkubwa utasema ni dume kwa kuwa sehemu zake za uzazi zimechomoza nje kama uume hii imetokea kwa sababu maalumu ikiwamo kudhibiti kuzaana! nikimaanisha katka kuzaana fisi dume yampasa kuwa mpole sana na mwenye hulka nzuri ndio ataweza kumvutia jike aweze kusimamisha uchi wake ukae katika namna ambayo uume utapenya! kwa hiyo ni lazma jike aridhike na ndio maana fisi madume hawapiganii jike ila wanaonyesha matendo mema ikiwepo usafi ndio jike atapata mzuka na kuchagua bwana ambae anadhani atakuwa mwema kulinda familia!

NIMEFURAHISHWA NA MADA HII SANA NA MIMI NI MSOMI WA MASWALA YA VIUMBEPORI TOKA UDSM! NATUMAI NIMEJIBU VEMA
 
Back
Top Bottom