CHIBA One
JF-Expert Member
- Nov 16, 2018
- 558
- 2,093
Nimepitia makala mbali mbali kuhusu cooling system za kwenye magari,
baada ya kumpa jamaa yangu gari kwa zaidi ya miezi miwili ( nilisafiri mkoa wa mbali kikazi) Nimerudi baada ya kuchukua gari, nime experience kitu kipya, nimetoka vzuri tu lakini baada ya kutembea Km kama 10 gari ikaanza kupandisha Gauge ya temperature,
Nilianza kuhisi labda ni mambo ya themorstat ama Radiator, feni, head gasket etc,
Lakini nilipofungua bonet nilikuta coolant iko chini sana, kiasi haifiki hata Lita 1..kile ki tank cha maji ni kikavu kabisa hakina kitu.
Ikabidi nipite garage moja ya Total, nikaongeza coolant kama ltr 3..
Sasa baada ya kupitia kwenye makala online, nikaona haishauriwi kutumia coolant pekee bila Maji ambayo yalichemshwa "distilled water" kwa uzoefu wenu hii ikoje?
N.B Baada ya kuongeza coolant, Temp gauge imetulia haipandi tena.
baada ya kumpa jamaa yangu gari kwa zaidi ya miezi miwili ( nilisafiri mkoa wa mbali kikazi) Nimerudi baada ya kuchukua gari, nime experience kitu kipya, nimetoka vzuri tu lakini baada ya kutembea Km kama 10 gari ikaanza kupandisha Gauge ya temperature,
Nilianza kuhisi labda ni mambo ya themorstat ama Radiator, feni, head gasket etc,
Lakini nilipofungua bonet nilikuta coolant iko chini sana, kiasi haifiki hata Lita 1..kile ki tank cha maji ni kikavu kabisa hakina kitu.
Ikabidi nipite garage moja ya Total, nikaongeza coolant kama ltr 3..
Sasa baada ya kupitia kwenye makala online, nikaona haishauriwi kutumia coolant pekee bila Maji ambayo yalichemshwa "distilled water" kwa uzoefu wenu hii ikoje?
N.B Baada ya kuongeza coolant, Temp gauge imetulia haipandi tena.