Ni kweli JK anamiliki Hotel ya Malaika Mwanza?

dogo punguza inferiority complex JK kumiliki hotel ni zambi?kuwa makini wewe hacha kukurupuka tunaitaji mawazo ya kujenga na sio kuja na uzushi uzushi kwn media makini kama hii...wa tz kama nyie mnaboa sana badilikeni hacha story za vijiweni kuleta huku.....et JK ana miliki hotel inahusu nini?angalia jinsi ya ku post pumba zako hapa sio tafuta wenzio.
 
Kila uchao yanaibuka, jana nimesikia watu wakidai kuwa hata ile Hoteli ya Mwanza ya Malaika inamilikiwa na JK, na kwamba amemkabidhi mtanzania mwenye asili ya Kiasia kusimamia. Wenye data tupeni ukweli hapa JF.
Mongoiwe, kwa jinsi ninavyosoma post zako humu, unaonyesha wewe uko deep kwenye issues nyingi tuu, masuala ya umiliki mbona sio siri, unazama tuu hapo Brella kitu utakuta wazi, sasa hao ni wenye data wapi unaowaulizia wakupe ukweli, ili hali ukweli unaujua?.

Kama kuna mwanzisha thread anaanzisha kuulizia kitu kwa kuuliza, huku kiukweli majibu anayajua, then kuuliza huko sio in good faith bali ni kutaka kupika majungu!.
 
anamiliki hiyo na nyingine nyingi sana.
kempinski ,moven pick,courtyard,southern sun,sopa,serena zote,peacock,holiday inn,white sands,gorrafe ocean view, na nyingine nyingi tu.
yaani wewe waijua moja tu? pole sana

Hii Kali. Napita. Hoteli za Dunia Nzima !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
afu nyie bwana mbon na mkapa alkwa hvyohvyo mwcheni ajidai ikfika tym atasanda namsipo mfuatilia vzuri inakula kwenu...
 
si alisema anamiliki shamba la mananasi heka 400 na ng;ombe 7000 wakati wa kampeni....so kumiliki hoteli mi naona kawaida tu ...na atakuwa anamiliki internet cafe kule sinza mori

Big up to JK
Kumbe ana raw materials kabisa kwa ajili ya hoteli? Safi sana.
 
Napita tu......
 

Umiliki huu wa hoteli unaweza kusema siyo Insue, lakini ki ukweli kama mali ya Yako Pasco ni kwa nini ummilikishe mtu mwingine kwa jina lake, hapa kuna kitu unataka kuficha.
Ukiwa kiongozi wa ngazi ya Ikulu (RAIS) na ukashughulika na biashara na biashara yenyewe hutaki kuiandika jina lako bado unaona sawa?

Sasa matokeo yake ni kuwa anayejifanya kumiliki amepiga wafanyakazi na kuwatambia kuwa hata waende kokote hawatasaidia kwa vile Hoteli hiyo inamikiliwa na KIGOGO wa NCHI.

Wafanyakazi hao wamekwenda polisi kulalamika wameambiwa na ofisa wa polisi kubalini kulipwa kwa vile Mkurugenzi wenu anaendesha hoteli hiyo kwa kumsimamia JK.
sasa kama ni maneno sijui lakini kuna kosa kuuliza humu?
 
SI WEWE TU!
WATANZANIA WENGI TUNAUMWA UGONJWA WA 'MAFUNUNU!!"
Na kila fununu inawabeba watanzania a kuwapeleka nje ya reli!!

Hahaha Mwanamageuko sikuwahi kufahamu kama kuna ugonjwa hatari wa MA-FUNUNU. Naomba utusaidia tiba yake make umewaathiri watu wengi sana katika Jamuhuri ya Muungano wa MA-FUNUNU. Hahahahahhahahah
 
Kila uchao yanaibuka, jana nimesikia watu wakidai kuwa hata ile Hoteli ya Mwanza ya Malaika inamilikiwa na JK, na kwamba amemkabidhi mtanzania mwenye asili ya Kiasia kusimamia. Wenye data tupeni ukweli hapa JF.
Jakaya ana rafiki yake mmoja wa kihindi aitwae Subash Patel ambae nae anajiita kuwa ni ****** na huyu bwana anamiliki vitega uchumi vingi zikiwemo hotel na kampuni za ujenzi ; most likely Kikwete ni silent partner wa huyu Subash na ndio maana akapewa mgodi wa makaa ya mawe na chuma huko mchuchuma kama muwekezaji!! Kumbuka Jakaya anatokea kwenye familia ya kimaskini sana kiasi kwamba anakuwa limbukeni mara anapooneshwa fedha kwenye viroba!!
 
anamiliki hiyo na nyingine nyingi sana.
kempinski ,moven pick,courtyard,southern sun,sopa,serena zote,peacock,holiday inn,white sands,gorrafe ocean view, na nyingine nyingi tu.
yaani wewe waijua moja tu? pole sana

kwenye red ... hii hoteli ipo wapi ..... haaa haaaaaaaa
 
safi sana. wana JF mmejadili kwa hoja hapa jamvini lakini hii thread ingekuwa posted kwenye SIASA duh, chadema wengi kule. wao ni matusi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…