Ukaridayo
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 515
- 476
Sikutaka kuamini kwakuwa nilikuwa bado sijazaliwa...
But nikataka kujifunza na kujua zaidi kutoka kwenu mana najua zipo pipo ambazo humu JF zilikuwa zimeshaliona jua, labda wao wanaweza kutuelezea hili kwa kina pamoja na wale wenye uzoefu ktk mambo ya historia ya uchumi wa taifa letu.
Nimesukumwa kulileta hili mana ktk miaka hiyo ya nyuma sikumbuki haswa ni mwaka gani "specific" but nakumbuka bajeti ya taifa zima ilishawahi kuwa 20,000/Tsh ya enzi hizo.
Hili la 500Tsh ilivyoendesha vita ya kagera daah.... Hebu fungukeni.
But nikataka kujifunza na kujua zaidi kutoka kwenu mana najua zipo pipo ambazo humu JF zilikuwa zimeshaliona jua, labda wao wanaweza kutuelezea hili kwa kina pamoja na wale wenye uzoefu ktk mambo ya historia ya uchumi wa taifa letu.
Nimesukumwa kulileta hili mana ktk miaka hiyo ya nyuma sikumbuki haswa ni mwaka gani "specific" but nakumbuka bajeti ya taifa zima ilishawahi kuwa 20,000/Tsh ya enzi hizo.
Hili la 500Tsh ilivyoendesha vita ya kagera daah.... Hebu fungukeni.