Ni kweli kama una mkopo bank huwezi chukua NSSF yako?

Ni kweli kama una mkopo bank huwezi chukua NSSF yako?

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
6,944
Reaction score
14,351
Wakuu!!

Huwa sielewi tulichukua mkopo {company} ilitudhamini mkopo wa muda wa miaka6.
kuna baadhi ya wafanyakazi waliacha kazi baada ya pesa zao kuzitumia divyo sivyo na kwa maelezo yao
walidai kuwa hela ya NSSF walichukua bila shida yoyote.

Njia waliyokuwa wanatumia ni kwenda kufungua account zingine. mfano kama ulikopa Nmb basi unafungua account ya Nbc au crdb

Au kama mkopo ulitoka crdb basi unafungua account ya Nmb au Nbc nk. huko ndo hela yako ya Nssf itawekwa.
katika kuuliza nimeambiwa hivi kama NSSF yako ni zaidi ya milioni10 itakupasa uwe na account ya crdb pekee yake kuwekewa hela zako. Na iwapo una mkopo huko Crdb itazuiliwa kwa miezi3 hadi upate kazi nje na hapo itakuwa mali halisi ya Bank ya CRDB Nssf yako.

Nahitaji kujua zaidi kuhusu haya
1:Je bank ina Access gani ya kuchukua mafao yangu{pesa nje na mshara} ambayo wanajua wazi kabisa mdhamini ilikuwa company nayo ifanyia kazi na hivi sasa kazi sina?

2: Kwanini Nssf chini ya m10 wanakuwekea kwenye account yoyote ile lakini zaidi ya hapo itakupasa uwe na account ya crdb pekee hata kama awali ulikuwa unatumia NMB?

NAOMBA MSAADA KWA WAJUMVI WA SHERIA NA MASWALA YA MIKOPO/BANK
 
Njia rahis acha kutumia iyo akaunt uliokua unapokelea mshahara mpka iwe domant kisha fungua akaunt benk nyingne anza kuitumia il sku ya kupeleka statment upeleke statment ya zaid ya miez 3 kisha chukua fom nssf ikionyesha kubadil akaunt na utajaza akaunt ya kwanza n domant na curent ac unayotumia ndio hii utavuta mzgo wako bila chenga
 
Swali la kwanza sina jibu lake maana sifahamu chochote kuhusu michakato ya hiyo mikopo na malipo yake.
Kuhusu swali la pili nadhani itakuwa si kweli kwa maana mke wangu mimi alifanya kazi kwenye kampuni fulani kwa miaka 14 na alipoachishwa alichukua mafao yake ya NSSF kupitia account ileile aliokuwa anachukulia mshahara ambayo benki yake ni NBC.
Na mpaka leo pesa yake ipo kwenye account hiyo.
 
Swali la kwanza sina jibu lake maana sifahamu chochote kuhusu michakato ya hiyo mikopo na malipo yake.
Kuhusu swali la pili nadhani itakuwa si kweli kwa maana mke wangu mimi alifanya kazi kwenye kampuni fulani kwa miaka 14 na alipoachishwa alichukua mafao yake ya NSSF kupitia account ileile aliokuwa anachukulia mshahara ambayo benki yake ni NBC.
Na mpaka leo pesa yake ipo kwenye account hiyo.
Ahsantee sana mkuu.
 
Njia rahis acha kutumia iyo akaunt uliokua unapokelea mshahara mpka iwe domant kisha fungua akaunt benk nyingne anza kuitumia il sku ya kupeleka statment upeleke statment ya zaid ya miez 3 kisha chukua fom nssf ikionyesha kubadil akaunt na utajaza akaunt ya kwanza n domant na curent ac unayotumia ndio hii utavuta mzgo wako bila chenga
Ahsantee sana mdau
 
Back
Top Bottom