wale jamaa wa jahazi, wanakera sana, wanaongea mambo ambayo kwanza hawana uhakika nayo, wanaongea kimbeambea kama wanawake (pamoja na tuhuma kuwa wafanyakazi wengi wa clouds ni mapunga), wanaweza kushambulia mtu bila kusikiliza upande wa pili, wanaweza kufanya mtu urushe ngumi aisee, hawana maana.