baba mausingizi Senior Member Joined Jun 15, 2016 Posts 189 Reaction score 119 Mar 30, 2018 #1 Kuna taarifa naziona juu juu kwenye social network kuhusu kichuya kuhusishwa kutakiwa na tp mazembe mwenye kujua zaidi juu ya taarifa hii pls
Kuna taarifa naziona juu juu kwenye social network kuhusu kichuya kuhusishwa kutakiwa na tp mazembe mwenye kujua zaidi juu ya taarifa hii pls
Ndumbayeye JF-Expert Member Joined Jan 31, 2009 Posts 7,413 Reaction score 4,020 Mar 30, 2018 #2 afadhali aende hapo mabasha wengi, hii timu mastaa wengi waikimbiaga.
Marlex Jr El JF-Expert Member Joined Nov 6, 2015 Posts 1,819 Reaction score 2,415 Mar 30, 2018 #3 Uwezo uko aende tu
Antennah JF-Expert Member Joined Oct 14, 2015 Posts 6,754 Reaction score 8,750 Mar 30, 2018 #4 ndo kupanda kwa mafanikio kimaisha na kakipaji kake
F FRESHMAN JF-Expert Member Joined Sep 29, 2011 Posts 9,137 Reaction score 34,793 Mar 30, 2018 #5 aende fasta kwa spidiiiii kali...
kibol JF-Expert Member Joined Apr 24, 2012 Posts 4,521 Reaction score 2,747 Mar 30, 2018 #6 Naomba habari iwe kweli, ana kipaji ila akienda mazembe kuna kitu kitaongezeka kwenye mpira wake.
OKW BOBAN SUNZU Platinum Member Joined Aug 24, 2011 Posts 53,868 Reaction score 121,001 Mar 30, 2018 #7 Kichuya mume wa Yanga
Davet JF-Expert Member Joined Apr 5, 2013 Posts 42,445 Reaction score 205,933 Mar 30, 2018 #9 Mazembe ndio imeonyesha kijinia cha kumuhitaji
CK Allan JF-Expert Member Joined Aug 14, 2013 Posts 2,781 Reaction score 6,139 Mar 30, 2018 #10 yanga wanaomba aende kabla ya 29/04/2018 hahaha natania tu
magnifico JF-Expert Member Joined Jan 14, 2013 Posts 11,075 Reaction score 24,634 Mar 31, 2018 #11 OKW BOBAN SUNZU said: Kichuya mume wa Yanga Click to expand... Ambaye ameipa Simba Ubingwa mara tatu mfululizo.
OKW BOBAN SUNZU said: Kichuya mume wa Yanga Click to expand... Ambaye ameipa Simba Ubingwa mara tatu mfululizo.
Betterhalf JF-Expert Member Joined Dec 20, 2016 Posts 2,882 Reaction score 2,560 Mar 31, 2018 #12 Mlatinoh king said: ndo kupanda kwa mafanikio kimaisha na kakipaji kake Click to expand... Unastahili kuwepo hapa JF.
Mlatinoh king said: ndo kupanda kwa mafanikio kimaisha na kakipaji kake Click to expand... Unastahili kuwepo hapa JF.