radiation
JF-Expert Member
- May 28, 2013
- 241
- 254
Habari wanaJF,
Nimekuwa na utata ambao nimekosa majibu ya kuridhisha. Nimekuwa Nikishuhudia watu wengi kuhusisha baadhi ya matukio yanayowatokea na Mungu, kwa mfano mtu anaweza akapata ajali, kutokufanikiwa kwenye mambo yake, magonjwa, kifo nk. imekuwa kawaida watu kusema ni mpango wa Mungu.
Je, ni kweli kuwa Mungu huweza kumfanyia haya yote mwanadamu aliyemuumba kwa mfano wake? (Kwa wale wanaoamini uumbaji).
Lakini pia maandiko matakatifu yanasema "mtu ajaribiwapo asiseme najaribiwa na Mungu kwa maana Mungu hajaribiwi na uovu". Vile vile sehemu nyingine ikaandikwa "Mungu hutuwazia yaliyo mema".
Nawasilisha..
Nimekuwa na utata ambao nimekosa majibu ya kuridhisha. Nimekuwa Nikishuhudia watu wengi kuhusisha baadhi ya matukio yanayowatokea na Mungu, kwa mfano mtu anaweza akapata ajali, kutokufanikiwa kwenye mambo yake, magonjwa, kifo nk. imekuwa kawaida watu kusema ni mpango wa Mungu.
Je, ni kweli kuwa Mungu huweza kumfanyia haya yote mwanadamu aliyemuumba kwa mfano wake? (Kwa wale wanaoamini uumbaji).
Lakini pia maandiko matakatifu yanasema "mtu ajaribiwapo asiseme najaribiwa na Mungu kwa maana Mungu hajaribiwi na uovu". Vile vile sehemu nyingine ikaandikwa "Mungu hutuwazia yaliyo mema".
Nawasilisha..