Ni kweli kilo ya sementi itatozwa ushuru wa shilling mia mbili?

Ni kweli kilo ya sementi itatozwa ushuru wa shilling mia mbili?

Mia ya noti

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2018
Posts
866
Reaction score
1,234
Wakuu habari.

Nimesikia vibaya au vipi kwamba kwenye bajeti iliyopitishwa bungeni hivi leo kwa kishindo Kila kilo ya sementi itatozwa ushuru shillingi mia mbili.
Sasa kilo hamsini itauzwa shilling ngapi kama ushuru tu itakuwa elfu kumi?
Duh kule bado mafuta Lita ushuru mia.
Tunatoboaje?
 
Ile shilingi mia ya kila 1/4 lita ya maji, mmeisahau?
Sasa ni wakati wa kuhamia burundi
 
Ndan ya nchi tunae cement ya kutosha a viwanda Ving Sana hatuna sabab ya kuaguza kutoka nje
 
Ndan ya nchi tunae cement ya kutosha a viwanda Ving Sana hatuna sabab ya kuaguza kutoka nje
Viwanda vipo Dar&Mtwara huko.

Mtu aliyepo Rulenge,Ngara au Shirati,Rorya ananunua kwa bei gani unafikiri?

Ndiyo maana biashara ya magendo mipakani haitakuja kuisha.
 
Wakuu habari.

Nimesikia vibaya au vipi kwamba kwenye bajeti iliyopitishwa bungeni hivi leo kwa kishindo Kila kilo ya sementi itatozwa ushuru shillingi mia mbili.
Sasa kilo hamsini itauzwa shilling ngapi kama ushuru tu itakuwa elfu kumi?
Duh kule bado mafuta Lita ushuru mia.
Tunatoboaje?
Sh 20 Kwa kilo sawa na 1,000 Kwa Mfuko mmja wa kilo 50
 
Back
Top Bottom