Ni kweli kura za ubunge Arusha mjini zinarudiwa kuhesabiwa?

Ni kweli kura za ubunge Arusha mjini zinarudiwa kuhesabiwa?

  • Thread starter Thread starter FM
  • Start date Start date

FM

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2009
Posts
202
Reaction score
5
Wana Jf nimepata taarifa ambazo naweza kuziita siyo rasmi lakini ni muhimu kuzifanyia kazi, kwamba kura za ubunge Arusha mjini zinarudiwa kuhesabiwa. Mwenye taarifa kamili kuhusu suala hili aweke hadharani.
 
Wana Jf nimepata taarifa ambazo naweza kuziita siyo rasmi lakini ni muhimu kuzifanyia kazi, kwamba kura za ubunge Arusha mjini zinarudiwa kuhesabiwa. Mwenye taarifa kamili kuhusu suala hili aweke hadharani.

Jamani WATANGANYIKA ni lini TUTAAMKA?
 
kazi kweli wanarudia ambapo chadema imeshindfa tu pengine no........hii hujuma hatutaikubali hata kidogo
 
Back
Top Bottom