Ni kweli kuwa Ruto amehonga Jaji?

vibesen xxx

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2022
Posts
3,187
Reaction score
6,620
Uyu mtu pesa anayo ngapi?
Kwenye ngome za Rao alihakikisha wasimamizi ni wafuasi wake na aliwaachia ukwasi wa kutosha

Chebukati akamwambisha bilions of money

Sasa amegeukia majaji amepatia mzungu dollars kuelekea kwa jaji watatu miongoni mwao

Ruto stop this,acha kudhulumu haki ya Odinga itakupiga back very soon

Mwanzako uhunye wakenya wamesamehe kwa mauaji ya 2007 wewe wanakuangalia bado
 
Hakuna siku hata moja mtakuja kupata akili, nyie misukule ya kukimbiza mwenge. Baada ya ule uchafuzi wenu wa 2020 sikuona mkihoji maupumbavu yote, ambayo mliyafanya siku hiyo. Ila mnaona sifa kueneza kila aina ya uvumi, umbea na hojaless zisizokuwa na tija, kuhusu uchaguzi ambao tuliufanya hivi majuzi nchini Kenya. Kuna vitu vya ajabu sana, ambavyo ukivisoma humu huwa unabaki ukijiuliza kama vimeandikwa na binadamu au sokwe. Bure kabisa.
 
Tangu niliposikia habari kwamba enzi za Moi ni kwamba Ruto alipewa kusimamia shughuli ya uchapishaji wa noti za fedha za Kenya nikasema hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
Kama hiyo habari ni ya kweli basi wamwache tuuuuu
Kuna office friend hapa amecheka hadi boss amemwandikia warning letter ๐Ÿ™‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ