Ni kweli kuwa Rwanda na Uganda wana gesi nyingi kutuzidi?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Takwimu zinaonyesha nchi yenye gesi nyingi duniani ni Urusi na ya pili Iran. Msumbiji ni ya 14 duniani na tanzania ni ya 82. Takwimu hizo zinaonyesha kuwa Rwanda na Uganda wana reserve kubwa ya gesi kuliko sisi.
 
Ni kweli Uganda na Rwanda wapo zaidi yetu, bila kuisahau congo
 
Mambo ya kusikia changanya na taarifa za kisayansi, alisikika mkuda mmoja akisema.
 
Takwimu zinaonyesha nchi yenye gesi nyingi duniani ni Urusi na ya pili Iran. Msumbiji ni ya 14 duniani na tanzania ni ya 82. Takwimu hizo zinaonyesha kuwa Rwanda na Uganda wana reserve kubwa ya gesi kuliko sisi.
Kikubwa ni kuanza kuzitumia sio zimekaa tu
 
Ni kweli Uganda na Rwanda wapo zaidi yetu, bila kuisahau congo
Kama ni kweli kwanini hawaichimbi na wameomba gesi kutoka kwetu isafirishwe kwa bomba, kwa nini wanunue wakati wanayo.
 
Gesi ya Tanzania ingegundulika baada ya katiba mpya ingetusaidia sana na mabadiliko chanya ya mwana nchi mmoja mmoja yangeonekana.
Nyinyi walevi wa Katiba mpya mna shida Sana...Hadi nguvu za kiume mtadai Katiba mpya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…