Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Nimeona sehemu kuwa utofauti wa mazingira ya kijijini unaweza kumuongezea mwajiriwa kigezo cha kuongezwa fedha ya mshahara. Naomba kuthibitisha kutoka kwenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naongelea serikali kaka.Kwa sekta binafsi inawezekana. Mishahara inalipwa basing on performance
Hawa ni wale waliohamishwa kutoka sehemu moja kwenda nyingineWako wengi tu hadi leo anapokea mishahara minono benki kuu na hawafanyi kazi huko. Cc madelu
Hapana. Unakumbuka Jiwe alipovamia benki kuu nakukuta Luna watu anapokea mishahara miwili mitatatu. Unakuta wanalipwa ya benki kuu na uwaziri/ ubungeHawa ni wale waliohamishwa kutoka sehemu moja kwenda nyingine
Hili liliondolewa zamani sana maana wanalipwa kwa check number,publication si rahisi. Uwezekano ni utofauti wa kiwango kutokana na kuhama na mashahara wako. Mfano,mhasibu wa TRA labda analipwa 1.5m(guess figure) akahamia Halimshauri ambalo wanalipwa laki nane,atabaki na mshahara wake wa 1.5mHapana. Unakumbuka Jiwe alipovamia benki kuu nakukuta Luna watu anapokea mishahara miwili mitatatu. Unakuta wanalipwa ya benki kuu na uwaziri/ ubunge
Wewe unaonaje?Nimeona sehemu kuwa utofauti wa mazingira ya kijijini unaweza kumuongezea mwajiriwa kigezo cha kuongezwa fedha ya mshahara.naomba kuthibitisha kutoka kwenu.
nimeuliza kaka.Wewe unaonaje?
Hakuna kitu kama hicho. Salary scale ni moja kwa cheo kinachofanana bila kujali mazingiranimeuliza kaka.
huenda ni sahihi kutokana na mazingira magumu hivyo kumuongezea pesa ni as if you him remmuniration/motive kwake ila nauliza ipo kisheria au ni maono yangu?