Mzalendo92
Senior Member
- Dec 29, 2014
- 177
- 5
Mgombea urais marekani Dornald Trump amekuwa akijadiliwa na baadhi ya wachambuzi wa masuala ya kisiasa za kimataifa , kuwa ikiwa atashinda Africa na Dunia zi hatarini
Je, Trump n tishio kwa mambo gani ?
Je, Trump n tishio kwa mambo gani ?