Juzi nilisikia habari kwa TV kuwa wamefanikiwa kupata mafuto kwenye ziwa Eyasi. Imesemwa utafiti ulianza tokea mwaka 2017. Hizi habari zina uhalisia wowote? Wamepata mafuta kiasi gani?
Juzi nilisikia habari kwa TV kuwa wamefanikiwa kupata mafuto kwenye ziwa Eyasi. Imesemwa utafiti ulianza tokea mwaka 2017. Hizi habari zina uhalisia wowote? Wamepata mafuta kiasi gani?