Ifike hatua tukianza kumuita mtu competent hana akili na kitu tuweke na CV zetu hapa ili tulinganishe na huyo tunayemuita kituko. Tuache kudharau watu wetu.Lakini inatutia doa sana kuupeleka ujinga wetu kimataifa,yaani wenzetu wanapambana kupeleka vichwa sisi tunapeleka vituko?
Aibu sana bora kama waliona hamna mwengine zaidi yake wangeuchuna tu ingekuwa siyo kesi.
Watetezi wake wameingia mitini. Mbaya zaidi ni CV hiyohiyo iliyomfikisha hapo.Hata mimi niliposikia hii kitu kwa mara ya kwanza mahali fulani (kutoka kwa hawa wakenya ambayo wanatudharau mnoo sisi waTz) nilipinga mnoo (maana nilikuwa Pro Janabi), lakini nilipochungumza kwa kina na kuuliza baadhi ya madaktari kimya kimya nikagundua kitu tofauti kabisa. Mtazamo ukawa tofauti kabisa.
Unadhani watu wote watasomea udaktari? Watanzania tuache maisha ya ujanja ujanja! Watu wanadiriki kujiita madaktari kumbe manesi tu,Ifike hatua tukianza kumuita mtu competent hana akili na kitu tuweke na CV zetu hapa ili tulinganishe na huyo tunayemuita kituko. Tuache kudharau watu wetu.
Rest in Peace professor Ngowi daahWasomi wengi wa kiTanzania ni kama waganga wa kienyeji kwa kuficha utaalamu wao.
Katika Tanzania ni maprofesa wachache kama Prof. Issa Shivji siasa / sheria, Prof. Janabi utabibu / elimu kwa umma (Public health), Prof. Prosper Ngowi wa Mzumbe University somo lake la kujiajiri ndiyo wasomi wachache wanaorudi kwa jamii kuwainua ufahamu waTanzania kwa elimu ya buree mtandaoni
Prof. Ngowi, Presenting Paper on Education for Liberation of the Poor in Africa at Nyerere Intellectual Festival UDSM, on 12.04.2018. Key issue; EDUCATION should Liberate the Poor Economically, should be relevant and demand-Driven
View: https://m.youtube.com/watch?v=gUu5YZEaPjk
Yule daktari wa marehemu Membe?Pale taasisi ya moyo ya Jakaya kikwete kuna tapeli mmoja anaitwa Prof Ny........ yule jamaa jamaa ni tapeli ana clinic zake za kitapeli morogoro.Kuna jambo alilifanya nitakuja kuliweka humu hadharani siku moja
Alisoma Urusi na Dr SheIn ππ
Tuwekeeni na CV ya Marehemu Ndungulile tufananishe ebuProf. Mohamed Yakub Janabi
Accreditations & Qualifications
MD., MSc., PhD. and Fellow of American College of Cardiology (FACC)
Certified Aviation Medical Examiner by FAA-USA
Career
CEO β MNH, Oct 2022 - Present
CEO- JKCI, 2015 - Sept 2022
Head, Physician to former President of United Republic of Tanzania (2005 - Present)
Faculty Member of Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) (2000 - Present)
Faculty Member of Medical University of South Carolina, USA (2003 - Present)
Corporate Governance Experience
Council Member MUHAS - Oct 2022 - Present
Board Member Jakaya Kikwete Cardiac Institute β Oct 2022 - Present
Board Member Ocean Road Cancer Institute - Oct 2022 - Present
Board Member SUA (2015 - Present)
Senior Researcher Scientist HIV Vaccine Trial (TaMoVac) (1998-2002)
Medical Director at Madaktari Africa, a USA-based NGO (Tanzania)
CEO Muhimbili National Hospital
Note
Prof. Janabi has made over 83 publications
Prof. has a good command of Kiswahili, English, Russian, and Japanese
He is a husband
Sasa ubobezi wake uko wapi.
Soma hapa:-
Very simple and interested mdogo wangu,ukisoma degree ya kwanza ambayo inachukua miaka mitano with one year of internship hapo utakuwa unaitwa MD,yaani Doctor Of Medicine,degree ya pili yaani master huwa tunaiita SPECIALIZATIONS hiyo ndiyo inaitwa "udaktari bingwa",unaweza somea specialization ya surgery(upasuaji),obestric and gynaecology(wakina mama na watoto),opthamology,laryngelogy,internal surgery,psychiatry etc,zipo nyingi sana wewe tu na GPA yako nzuri ya MD,Thank
Tuwekeeni na CV ya Marehemu Ndungulile tufananishe ebu
Kwa hiyo post ya WHO ni shavu kuliko kuwa MD MNH pamoja na udaktari wa raia. Ila kashazeeka huyo hana akili mpya. Ana mingapi sasa?Mara baada ya Rais Samia kutangaza kumpigia debe Professor Janabi ili kuiwakilisha Tanzania kwenye kinyang'anyiro cha ukurugenzi mkuu wa WHO kanda ya Afrika, watu wenye akili kubwa ikabidi waingie chimbo kufukua file lenye kubeba wasifu mbali mbali kumhusu Profesa Mohamed Janabi ili kuona ana kipi cha kielimu na kisayansi, na sasa imekuja kugundulika kuwa, kumbe mwamba hakuwahi kusomea udaktari bingwa wowote (Mmed) achilia mbali udaktari bingwa wa moyo (Cardiologist) na wala hana sifa zozote stahiki za kibingwa kutibu moyo.
Na kwa mifumo ya mamlaka za usimamizi wa fani ya utabibu hapa Tanzania (Medical Council of Tanganyika), daktari asiyekuwa na sifa za kibingwa za fani huzika haruhusiwi kutoa matibabu ya kibingwa moja kwa moja kwa mgonjwa, na kwa tafsiri ya moja kwa moja, Professor Janabi hakuwahi popote moja kwa moja kutibu kibingwa moyo, na kama aliwahi kufanya hivyo anastahili kushtakiwa kwenye baraza la madaktari kwa kutenda kosa la kimaadili katika fani ya udaktari.
Hapa chini nimeambanisha wasifu wa Professor Janabi wa kidaktari unaotambulika na mamlaka za usimamizi wa taaluma ya udaktari hapa Tanzania (MCT).
Mwisho kabisa, MCT wanatakiwa kutoa maelezo kwa umma, kwa hicho ulichowahi kusomea Professor Jababi (Masters of tropical health) ambacho hakina sifa yoyote ya udaktari bingwa wa moyo (maana mhitimu yoyote wa fani ya afya anaweza kusomea), kinampaje sifa mhusika kuwa daktari bingwa wa moyo?
NOTE:
Daktari bingwa mbombezi (kama daktari bingwa wa moyo) yoyote mwenye sifa stahiki za kutambulika na baraza la madaktari la Tanganyika (MCT) ni lazima utambulisho wake kwenye ukurasa rasmi wa MCT (Professional Profile status) usomeke SUPER SPECIALIST DOCTOR. Kwa Professor Janabi hakuna hicho kitu.
View attachment 3173753
Jamaa ana ajenda zake nyengine , tunamwelewaWe jamaa acha kupiga watu kamba, khaa!!
Sasa mbona anatushauri shauri kila siku!Mara baada ya Rais Samia kutangaza kumpigia debe Professor Janabi ili kuiwakilisha Tanzania kwenye kinyang'anyiro cha ukurugenzi mkuu wa WHO kanda ya Afrika, watu wenye akili kubwa ikabidi waingie chimbo kufukua file lenye kubeba wasifu mbali mbali kumhusu Profesa Mohamed Janabi ili kuona ana kipi cha kielimu na kisayansi, na sasa imekuja kugundulika kuwa, kumbe mwamba hakuwahi kusomea udaktari bingwa wowote (Mmed) achilia mbali udaktari bingwa wa moyo (Cardiologist) na wala hana sifa zozote stahiki za kibingwa kutibu moyo.
Na kwa mifumo ya mamlaka za usimamizi wa fani ya utabibu hapa Tanzania (Medical Council of Tanganyika), daktari asiyekuwa na sifa za kibingwa za fani huzika haruhusiwi kutoa matibabu ya kibingwa moja kwa moja kwa mgonjwa, na kwa tafsiri ya moja kwa moja, Professor Janabi hakuwahi popote moja kwa moja kutibu kibingwa moyo, na kama aliwahi kufanya hivyo anastahili kushtakiwa kwenye baraza la madaktari kwa kutenda kosa la kimaadili katika fani ya udaktari.
Hapa chini nimeambanisha wasifu wa Professor Janabi wa kidaktari unaotambulika na mamlaka za usimamizi wa taaluma ya udaktari hapa Tanzania (MCT).
Mwisho kabisa, MCT wanatakiwa kutoa maelezo kwa umma, kwa hicho ulichowahi kusomea Professor Jababi (Masters of tropical health) ambacho hakina sifa yoyote ya udaktari bingwa wa moyo (maana mhitimu yoyote wa fani ya afya anaweza kusomea), kinampaje sifa mhusika kuwa daktari bingwa wa moyo?
NOTE:
Daktari bingwa mbombezi (kama daktari bingwa wa moyo) yoyote mwenye sifa stahiki za kutambulika na baraza la madaktari la Tanganyika (MCT) ni lazima utambulisho wake kwenye ukurasa rasmi wa MCT (Professional Profile status) usomeke SUPER SPECIALIST DOCTOR. Kwa Professor Janabi hakuna hicho kitu.
View attachment 3173753
Professor Janabi hana qualification yoyote ya kutibu moyo kibingwa, hana. Hakusomea popote na hakuwahi kutambuliwa na baraza la madaktari hapa Tanzania kama Daktari bingwa wa moyo. Na hata pale Muhimbili hajawahi kutibu moyo mtu kibingwa tangu awepo. Hana huo uwezo.
Yuko vizuri jamaa.Ulivyoleta uzi sikukubaliana na wewe ingawa sikuchangia, ila baada ya kufuatili now naungana na wewe
Mbona chimbo lako kama la kidaktari vile.Hata mimi niliposikia hii kitu kwa mara ya kwanza mahali fulani (kutoka kwa hawa wakenya ambayo wanatudharau mnoo sisi waTz) nilipinga mnoo (maana nilikuwa Pro Janabi), lakini nilipochungumza kwa kina na kuuliza baadhi ya madaktari kimya kimya nikagundua kitu tofauti kabisa. Mtazamo ukawa tofauti kabisa.
Kabisa, kala na spana za kumtosha.Huyu dactar tumkamate alafu tumfungie gheto tumuwekee maji na mchele tuu awe anatafuna mchele for 9days
ππππππππKabisa, kala na spana za kumtosha.
mie na shogake shangazi yake ma mdogo,Kama hauna Mmed hauwezi kuitwa daktari bingwa mimi siyo daktari lakini nina brother wangu yeye ni super specialist ananipaga madini sana kuhusu afya