Tetesi: Ni kweli kwamba simu za OPPO na LENOVO zinasumbua mtandao hapa Tanzania?

Tetesi: Ni kweli kwamba simu za OPPO na LENOVO zinasumbua mtandao hapa Tanzania?

Bhudagala

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2014
Posts
325
Reaction score
311
Salaam wakuu! [emoji120]
Ni kweli kwamba simu za OPPO na LENOVO zinasumbua mtandao hapa Tanzania hata kama ni UNLOCKED?

Nikiwa kwenye mchakato wa kuzihama Tecno, pendeleo langu ni OPPO au LENOVO sasa kuna mdau kanistua kuwa hizi zinasumbua kwenye sim cards za hapa kwetu hata kama ziko UNLOCKED. Kwamba "sijui" tatizo liko kwenye "ranges za bands zake" kwa hiyo inaweza kuleta shida kwa wahudumu wa huduma za mawasiliano hapa Tanzania.

Lakini nikiangalia feedback report pale AliExpress naona wadau wa Tanzania pia wametoa positive feedback.
Siko vizuri kwenye hili eneo nisije kununua halafu ikaja kuwa mdoli. Naombeni ufafanuzi tafadhali.

Nawasilisha
 
Ww hakikisha bands tu za sim utayo nunua ziko sawa na bands zetu basi.

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
 
Kama una mashaka chukua Xiaomi,Mimi natumia na jamaa zangu wawili nimewaagizia wanatumia sijawahi kuona tatizo wala hawajawahi kunipa lalamiko lolote so imani yangu ziko vizuri.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Salaam wakuu! [emoji120]
Ni kweli kwamba simu za OPPO na LENOVO zinasumbua mtandao hapa Tanzania hata kama ni UNLOCKED?

Nikiwa kwenye mchakato wa kuzihama Tecno, pendeleo langu ni OPPO au LENOVO sasa kuna mdau kanistua kuwa hizi zinasumbua kwenye sim cards za hapa kwetu hata kama ziko UNLOCKED. Kwamba "sijui" tatizo liko kwenye "ranges za bands zake" kwa hiyo inaweza kuleta shida kwa wahudumu wa huduma za mawasiliano hapa Tanzania.

Lakini nikiangalia feedback report pale AliExpress naona wadau wa Tanzania pia wametoa positive feedback.
Siko vizuri kwenye hili eneo nisije kununua halafu ikaja kuwa mdoli. Naombeni ufafanuzi tafadhali.

Nawasilisha
Mimi natumia lenovo Z5 sijaona hiyo shida. Laini zangu zote zinakubali na simu inapiga mzigo kama kawaida.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa angalia na bands zile za Tanzania pia kweny simu zimetokea?

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Nahisi ndo hizo hizo au nakosea kuwa;
LTE - 4G
HSPA - 3G
GSM - 2G n.k
 
Back
Top Bottom