Ni kweli kwamba ubora wa Royal Tour utaikosesha waangaliaji?

Ni kweli kwamba ubora wa Royal Tour utaikosesha waangaliaji?

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Watu wamedis ubora wa film ya Royal tour hasa kwa namna picha zinazoonekana kwenye nyasi zilivyomweka mbali na upeo wa sura yake halisi. Wengine wanadis driving na matendo haviendani au havionyeshi reality, mixing ya issue it's like aliyefanya Hana uzoefu ni kipi kinapatikana Tz. Utalii na wanyama waliorekodiwa wamechukuliwa kwenye films nyingine zinazoonekana kwenye vituo mbalimbali ambavyo urusha matangazo ya wanyama na utalii.

Lakini pia changamoto kubwa ya uhafifu unadaiwa kutokana na speed Toka kushoot Hadi muda wakoa trailer, kwamba waandaaji awakupata muda wakutembelea vivutio vyote na awakupata muda wa kutosha kukusanya matukio ya maeneo mbalimbali na kuyaingiza kwenye film.

Mwisho, gharama ya film inaweza kuwa kubwa kuliko return hasa pale itakapotoka kipindi hiki ambacho Kuna wimbi jipya la COVID linalochangia watalii kutosafiri Kwa wingi.
 
Tunaandikia mate.weka linktucomment pamoja.
 
Watu wamedis ubora wa film ya Royal tour hasa kwa namna picha zinazoonekana kwenye nyasi zilivyomweka mbali na upeo wa sura yake halisi. Wengine wanadis driving na matendo haviendani au havionyeshi reality, mixing ya issue it's like aliyefanya Hana uzoefu ni kipi kinapatikana Tz. Utalii na wanyama waliorekodiwa wamechukuliwa kwenye films nyingine zinazoonekana kwenye vituo mbalimbali ambavyo urusha matangazo ya wanyama na utalii.

Lakini pia changamoto kubwa ya uhafifu unadaiwa kutokana na speed Toka kushoot Hadi muda wakoa trailer, kwamba waandaaji awakupata muda wakutembelea vivutio vyote na awakupata muda wa kutosha kukusanya matukio ya maeneo mbalimbali na kuyaingiza kwenye film.

Mwisho, gharama ya film inaweza kuwa kubwa kuliko return hasa pale itakapotoka kipindi hiki ambacho Kuna wimbi jipya la COVID linalochangia watalii kutosafiri Kwa wingi.
Ndugu angalia sana usiwe HATER tu.Hiyo trailer haina matatizo uliyosema,ubora wa picha ni mzuri,narration ni nzuri, movement ya picha ni kali.Trailer moja lakini imejitahidi sana kuonesha vitu vingi,imeonesha diversity ya maisha ya watu watu wa porini/masai na wa mjini,imeonesha wanyama,crater,kisiwa cha Zanzibar,mlima Kilimanjaro na utofauti wa dini ulivyokuwa sio chanzo na kukosa mshikamano wa kitaifa.Kuhusu Mama samia kutoonekana vizuri,sioni ubaya,lengo ilikuwa ni kuonesha nature iliyomzunguka,yeye sio kivutio cha utalii.
 
Ndugu angalia sana usiwe HATER tu.Hiyo trailer haina matatizo uliyosema,ubora wa picha ni mzuri,narration ni nzuri, movement ya picha ni kali.Trailer moja lakini imejitahidi sana kuonesha vitu vingi,imeonesha diversity ya maisha ya watu watu wa porini/masai na wa mjini,imeonesha wanyama,crater,kisiwa cha Zanzibar,mlima Kilimanjaro na utofauti wa dini ulivyokuwa sio chanzo na kukosa mshikamano wa kitaifa.Kuhusu Mama samia kutoonekana vizuri,sioni ubaya,lengo ilikuwa ni kuonesha nature iliyomzunguka,yeye sio kivutio cha utalii.
Mkenya huyo achana nae. Hawa jamaa hata ukiwapa ardhi bure ya kuishi na vyote vilivyomo ndani yake wachukue bure, bado wataendelea kuonesha chuki na sio shukran ya kile ulichowapa.
 
Watu wamedis ubora wa film ya Royal tour hasa kwa namna picha zinazoonekana kwenye nyasi zilivyomweka mbali na upeo wa sura yake halisi. Wengine wanadis driving na matendo haviendani au havionyeshi reality, mixing ya issue it's like aliyefanya Hana uzoefu ni kipi kinapatikana Tz. Utalii na wanyama waliorekodiwa wamechukuliwa kwenye films nyingine zinazoonekana kwenye vituo mbalimbali ambavyo urusha matangazo ya wanyama na utalii.

Lakini pia changamoto kubwa ya uhafifu unadaiwa kutokana na speed Toka kushoot Hadi muda wakoa trailer, kwamba waandaaji awakupata muda wakutembelea vivutio vyote na awakupata muda wa kutosha kukusanya matukio ya maeneo mbalimbali na kuyaingiza kwenye film.

Mwisho, gharama ya film inaweza kuwa kubwa kuliko return hasa pale itakapotoka kipindi hiki ambacho Kuna wimbi jipya la COVID linalochangia watalii kutosafiri Kwa wingi.

Wataalam wa mambo ya film wanaweza kunisahihisha kwa hili; mara nyingi commercial films hazitolewi wakati wowote ule bali hutolewa pale tu ambapo wahusika wanajua watapata watazamaji wengi. Sasa kwa hii documentary kwavile lengo lake ni kuwavutia watalii na hivi sasa kuna hili balaa la OMICRON huko wanakotoka walengwa basi ingekuwa strategic kama hiyo documentary haitatolewa mpaka hapo wakati travelling restrictions zimeondolewa kwa nchi wanakotegemewa watalii kutoka hasa U.S.A.
 
Watu wamedis ubora wa film ya Royal tour hasa kwa namna picha zinazoonekana kwenye nyasi zilivyomweka mbali na upeo wa sura yake halisi. Wengine wanadis driving na matendo haviendani au havionyeshi reality, mixing ya issue it's like aliyefanya Hana uzoefu ni kipi kinapatikana Tz. Utalii na wanyama waliorekodiwa wamechukuliwa kwenye films nyingine zinazoonekana kwenye vituo mbalimbali ambavyo urusha matangazo ya wanyama na utalii.

Lakini pia changamoto kubwa ya uhafifu unadaiwa kutokana na speed Toka kushoot Hadi muda wakoa trailer, kwamba waandaaji awakupata muda wakutembelea vivutio vyote na awakupata muda wa kutosha kukusanya matukio ya maeneo mbalimbali na kuyaingiza kwenye film.

Mwisho, gharama ya film inaweza kuwa kubwa kuliko return hasa pale itakapotoka kipindi hiki ambacho Kuna wimbi jipya la COVID linalochangia watalii kutosafiri Kwa wingi.
Tulipigwa ama

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Wataalam wa mambo ya film wanaweza kunisahihisha kwa hili; mara nyingi commercial films hazitolewi wakati wowote ule bali hutolewa pale tu ambapo wahusika wanajua watapata watazamaji wengi. Sasa kwa hii documentary kwavile lengo lake ni kuwavutia watalii na hivi sasa kuna hili balaa la OMICRON huko wanakotoka walengwa basi ingekuwa strategic kama hiyo documentary haitatolewa mpaka hapo wakati travelling restrictions zimeondolewa kwa nchi wanakotegemewa watalii kutoka hasa U.S.A.
Samahani Mkuu, kwani ni lazima ukiona leo documentary uanze safari leo?

Watalii kadhaa hupanga tour zao baada ya kustaafu au wakati wa likizo.

Lengo la documentary ni kumshawishi mteja achague kuja Tz, lini atakuja it depends.
 
Samahani Mkuu, kwani ni lazima ukiona leo documentary uanze safari leo?

Watalii kadhaa hupanga tour zao baada ya kidtaafu au wakati wa likizo.

Lengo la documentary ni kumshawishi mteja achague kuja Tz, lini atakuja it depends.
Huyo mtoa mada ndio wale wenzetu waleee wala usiumize kichwa mkuu..hawana jema.!
 
Lengo la documentary ni kumshawishi mteja achague kuja Tz, lini atakuja it depends.

Mimi nilikuwa nasisitiza juu ya timing ya release ya hiyo documentary. Ni kweli watalii hupanga safari zao kwa muda lakini ukiona documentary leo halafu usisafiri kwasababu ya CORONA restrictions,halafu katikati hapo ukaona kivutio kingine most likely utasahau kile cha zamani!! Target audience ya hii documentary ni U.S mainly kama vile ilivyokuwa ile ya RUANDA hivyo ni vyema kuwa na macho ya ki biashara kama tunataka investment ya hii documentary irudi, kwani a substantial amount of money has been spent!!
 
Watu wamedis ubora wa film ya Royal tour hasa kwa namna picha zinazoonekana kwenye nyasi zilivyomweka mbali na upeo wa sura yake halisi. Wengine wanadis driving na matendo haviendani au havionyeshi reality, mixing ya issue it's like aliyefanya Hana uzoefu ni kipi kinapatikana Tz. Utalii na wanyama waliorekodiwa wamechukuliwa kwenye films nyingine zinazoonekana kwenye vituo mbalimbali ambavyo urusha matangazo ya wanyama na utalii.

Lakini pia changamoto kubwa ya uhafifu unadaiwa kutokana na speed Toka kushoot Hadi muda wakoa trailer, kwamba waandaaji awakupata muda wakutembelea vivutio vyote na awakupata muda wa kutosha kukusanya matukio ya maeneo mbalimbali na kuyaingiza kwenye film.

Mwisho, gharama ya film inaweza kuwa kubwa kuliko return hasa pale itakapotoka kipindi hiki ambacho Kuna wimbi jipya la COVID linalochangia watalii kutosafiri Kwa wingi.
Hebu weka hapa kipande kidogo tujiridhishe
 
Back
Top Bottom