Braza Kede JF-Expert Member Joined Nov 1, 2012 Posts 3,840 Reaction score 6,844 Jun 8, 2024 #1 Huu uzi ni maalum kwa maswali na dukuduku yoyote yanayokutatiza na ungependa memba wengine wa hapa Jf wakupe majibu. Mimi yangu ni hii: Hivi kuna ukweli wowote kuwa nduguzetu wamarekani weusi (black americans) hawajihesabu kama wao ni weusi wenzetu?
Huu uzi ni maalum kwa maswali na dukuduku yoyote yanayokutatiza na ungependa memba wengine wa hapa Jf wakupe majibu. Mimi yangu ni hii: Hivi kuna ukweli wowote kuwa nduguzetu wamarekani weusi (black americans) hawajihesabu kama wao ni weusi wenzetu?
Papaa Gx JF-Expert Member Joined Oct 10, 2016 Posts 11,097 Reaction score 17,929 Jun 8, 2024 #2 Wanasema za kuambiwa changanya na zako, ulivyo ambiwa wewe umechanganya zako ukapata jibu gani kwenye hilo swali lako?
Wanasema za kuambiwa changanya na zako, ulivyo ambiwa wewe umechanganya zako ukapata jibu gani kwenye hilo swali lako?
philipo njovu Senior Member Joined Dec 30, 2016 Posts 181 Reaction score 115 Jun 8, 2024 #3 Braza Kede said: Huu uzi ni maalum kwa maswali na dukuduku yoyote yanayokutatiza na ungependa memba wengine wa hapa Jf wakupe majibu. Mimi yangu ni hii: Hivi kuna ukweli wowote kuwa nduguzetu wamarekani weusi (black americans) hawajihesabu kama wao ni weusi wenzetu? Click to expand... We ungekubali?
Braza Kede said: Huu uzi ni maalum kwa maswali na dukuduku yoyote yanayokutatiza na ungependa memba wengine wa hapa Jf wakupe majibu. Mimi yangu ni hii: Hivi kuna ukweli wowote kuwa nduguzetu wamarekani weusi (black americans) hawajihesabu kama wao ni weusi wenzetu? Click to expand... We ungekubali?
B bongodili tele JF-Expert Member Joined Jun 8, 2024 Posts 1,520 Reaction score 3,022 Jun 8, 2024 #4 Black Americans wanatuona sisi waafrika ni washamba,lakini tunafanana tabia
E eddy JF-Expert Member Joined Dec 26, 2007 Posts 16,054 Reaction score 11,568 Jun 8, 2024 #5 Sio tu wamarekani hata wazanziber pia